News
-
NAIBU WA RAIS WILIAM RUTO ANATARAJIWA KUZURU KAUNTI YA POKOT MAGHARIBI
Mwaniaji urais wa chama cha UDA William Ruto anatarajiwa leo kuzuru kaunti hii ya Pokot maghari kuongoza kampeni za muungano wa Kenya kwanza katika juhudi za kutafuta uungwaji mkono kutoka […]
-
WAKAAZI WA LORENG’O TURKANA KASKAZINI WAKOSA MVUA KWA ZAIDI YA MIAKA MINNE SASA
Mamia ya wakazi wa eneo la loreng’o, turkana kaskazini wanakabiliwa na hatari ya kuangamia kutokana na ukosefu wa chakula kufuatia kiangazi cha mda mrefu.Wenyeji eneo hilo wakiongozwa na naibu chufu […]
-
LONYANGAPUO ASUTWA KWA KUTOCHUKUA HATUA KUKABILI BAA LA NJAA POKOT MAGHARIBI.
Mbunge wa kapenguria kaunti hii ya Pokot magharibi Samwel Moroto amemsuta gavana wa kaunti hii John Lonyangapuo kwa kile amedai kutowajibika katika kushughulikia baa la njaa ambalo linashuhudiwa katika baadhi […]
-
RAILA AAHIDI KUSHUGHULIKIA UTOVU WA USALAMA KERIO VALLEY.
Mgombea urais wa muungano wa azimio Raila Odinga ameahidi kuweka mikakati ya kuimarisha usalama kwenye kaunti za Pokot magharibi, Baringo Elgeyo marakwet na Turkana iwapo atachaguliwa rais katika uchaguzi mkuu […]
-
WASAGAJI NAFAKA TRANS NZOIA WADINDA KUSHUSHA BEI YA UNGA.
Wasagaji nafaka mjini Kitale katika kaunti ya Trans nzoia wamesema kuwa hawatakubali kuuza unga wa mahindi pakiti kilo mbili kwa shilingi 100 hadi serikali itakapowafidia.Wakiongozwa na Robert Wanyonyi, wasagaji nafaka […]
-
WANASIASA POKOT MAGHARIBI WATAKIWA KUTOHITILAFIANA NA MAJUKUMU YA WANAHABARI.
Seneta wa kaunti hii ya Pokot magharibi Samwel Poghisio amewasuta baadhi ya wanasiasa katika kaunti hii kwa kile amedai kutumia makundi ya vijana kuwatishia wanahabari wanapotekeleza majukumu yao ya kuwaarifu […]
-
‘BABA’ KUZURU WANAWE WAWILI POKOT MAGHARIBI.
Mgombea urais wa chama cha muungano wa azimio la umoja one Kenya Raila Odinga na mgombea mwenza wake Martha Karua wanatarajiwa leo kuzuru kaunti hii ya Pokot magharibi kuendeleza kampeni […]
-
VIJANA WAPIGWA JEKI KUPITIA UZINDUZI WA KITUO CHA ICT ENDEBES.
Mbunge wa Endebess kaunti ya Trans nzoia Dkt Robert Pukose amezindua rasmi kituo cha kutoa huduma za mtandao ICT eneo bunge hilo ili kuwasaidia vijana na wenyeji eneo hilo kufanya […]
-
MAKALI YA NJAA YAZIDISHA HOFU TIATI, BARINGO.
Shirika la msalaba mwekundi nchini (kenya red cross) limeelezea wasi wasi wa kuongezeka kwa idadi ya wakenya wanaokabiliwa na tatizo la ukosefu wa chakula iwapo mvua haitashuhudiwa maeneo tofauti nchini.Akiongea […]
-
‘MUGUMO’ WA POKOT MAGHARIBI WAANGUKA.
Baraza la wazee kaunti hii ya Pokot magharibi linatarajiwa kukutana kujadili chanzo cha kuanguka kwa mti wa kihistoria katika kaunti hii unaojulikana kama simotwo au mnagei.Kulingana na mwenyekiti wa baraza […]
Top News










