News
-
IDARA YA POLISI KACHELIBA YAPIGA MARUFUKU DENSI ZA USIKU.
Idara ya polisi eneo la kacheliba kaunti ya Pokot magharibi imepiga marufuku hafla zozote za usiku katika eneo hilo hasa msimu huu wa desemba ambao huandamana na sherehe nyingi. Akizungumza […]
-
BAADHI YA WAFANYIKAZI WA KAUNTI POKOT MAGHARIBI WALALAMIKIA KUSITISHWA MISHAHARA YAO.
Baadhi ya wafanyikazi wa serikali ya kaunti hii ya Pokot magharibi wamelalamikia kupitia hali ngumu wakidai kutolipwa mishahara licha ya kutoa huduma. Wakizungumza na wanahabari wafanyikazi hao walisema tangu kuajiriwa […]
-
MJADALA KUHUSU UAGIZAJI WA MAHINDI YA GMO WAZIDI KUTOKOTA NCHINI.
Mbunge wa Pokot kusini katika kaunti hii ya Pokot magharibi David Pkosing amemshutumu vikali waziri wa biashara, uwekezaji na viwanda Moses Kuria kufuatia kauli kwamba serikali inapanga kuagiza mahindi magunia […]
-
VISA VYA HIV MIONGONI MWA WATOTO POKOT MAGHARIBI VYATAJWA KUONGEZEKA.
Ni jukumu la kila mmoja katika jamii kuhakikisha kuwa anamlinda mtoto wa kike dhidi ya mimba za mapema na maambukizi ya virusi vya HIV. Ni wito wake afisa katika shirika […]
-
WAFANYIKAZI KAUNTI YA TRANS NZOIA WAHIMIZWA KUSHIRIKIANA KIKAMILIFU NA SERIKALI.
Chama cha kutetea maslahi ya wafanyikazi katika kaunti ya Trans nzoia kimewahimiza wafanyikazi wa kaunti hiyo kushirikiana kikamilifu na uongozi wa gavana George Natembeya katika juhudi za kuimarisha miradi ya […]
-
SHIRIKA LA SICOM LAENDELEZA MIKAKATI YA KUKABILI ATHARI ZA UKAME POKOT MAGHARIBI.
Shirika lisillo la serikali la SICOM linalenga kuzindua mpango wa kuwawezesha wakazi wa maeneo mbali mbali ya kaunti hii ya Pokot magharibi hasa kina mama ili kuweza kujikimu hasa kipindi […]
-
WADAU POKOT MAGHARIBI WAONYWA DHIDI YA KUFANIKISHA WIZI WA MITIHANI YA KITAIFA.
Mitihani ya kitaifa kwa ajili ya darasa la nane KCPE na kidato cha nne KCSE ikiendelea kukaribia, wadau katika sekta ya elimu kaunti hii ya Pokot magharibi wameonywa dhidi ya […]
-
SERIKALI YATAKIWA KUIMARISHA USALAMA WA WAFUGAJI WANAPOHAMA KUTAFUTA LISHE KWA MIFUGO.
Serikali imetakiwa kuimarisha usalama eneo la Amudat mpakani pa kaunti hii ya Pokot magharibi na taifa jirani la Uganda ili kutoa ulinzi kwa wafugaji wanaohamisha mifugo wao kuwatafutia lishe kufuatia […]
-
WAKAZI POKOT MAGHARIBI WAHIMIZWA KUCHANGIA JUHUDI ZA KUIMARISHA USAFI TAIFA LINAPOADHIMISHA WIKI YA USAFI.
Taifa likiadhimisha wiki ya usafi idara mbali mbali katika serikali ya kaunti hii ya Poikot magharibi zimeelezea kushirikiana kuhakikisha kwamba usafi wa mazingira unaimarishwa katika kaunti hii. Akizungumza wakati wa […]
-
MJADALA UNAOHUSU KUBUNIWA KAUNTI MPYA YA MLIMA ELGON WAZIDI KUTOKOTA.
Mjadala wa kuongeza idadi ya kaunti kutoka arobaini na saba hadi hamsini na mbili unaendelea kuibua hisia kinzani huku wanasiasa na Wakaazi wa maeneo yanayolengwa wakiwasuta wanaopinga pendekezo hilo Mmoja […]
Top News










