News
-
WAKAZI MASOL WANUFAIKA NA MRADI WA UJUZI MANYATANI.
Zaidi ya wakazi 600 kutoka kaunti za wafugaji wamenufaika kutokana na mradi wa ujuzi manyatani ambao unatoa mafunzo ya kiufundi kwa wakazi katika kaunti hizi ili kuwapa uwezo wa kujiendeleza […]
-
WANAOPINGA MIPANGO YA KUAGIZWA MAHINDI KUTOKA MATAIFA YA NJE WASUTWA VIKALI.
Mjadala kuhusu uagizaji wa mahindi kutoka nje ya nchi ukiendelea kushika kasi nchini, baadhi ya wakazi wa kaunti ya Pokot magharibi wameunga mkono swala hilo wakiwataka wanaopinga kukoma kuingiza siasa […]
-
WAZAZI WATAKIWA KUKUMBATIA MTAALA WA CBC KWA MANUFAA YA WANAO.
Wazazi katika kaunti ya Pokot magharibi wametakiwa kukumbatia mfumo mpya wa elimu CBC kwa manufaa ya wanao siku za usoni. Akizungumza katika hafla ya elimu katika shule ya msingi ya […]
-
IDARA YA POLISI KACHELIBA YAPIGA MARUFUKU DENSI ZA USIKU.
Idara ya polisi eneo la kacheliba kaunti ya Pokot magharibi imepiga marufuku hafla zozote za usiku katika eneo hilo hasa msimu huu wa desemba ambao huandamana na sherehe nyingi. Akizungumza […]
-
BAADHI YA WAFANYIKAZI WA KAUNTI POKOT MAGHARIBI WALALAMIKIA KUSITISHWA MISHAHARA YAO.
Baadhi ya wafanyikazi wa serikali ya kaunti hii ya Pokot magharibi wamelalamikia kupitia hali ngumu wakidai kutolipwa mishahara licha ya kutoa huduma. Wakizungumza na wanahabari wafanyikazi hao walisema tangu kuajiriwa […]
-
MJADALA KUHUSU UAGIZAJI WA MAHINDI YA GMO WAZIDI KUTOKOTA NCHINI.
Mbunge wa Pokot kusini katika kaunti hii ya Pokot magharibi David Pkosing amemshutumu vikali waziri wa biashara, uwekezaji na viwanda Moses Kuria kufuatia kauli kwamba serikali inapanga kuagiza mahindi magunia […]
-
VISA VYA HIV MIONGONI MWA WATOTO POKOT MAGHARIBI VYATAJWA KUONGEZEKA.
Ni jukumu la kila mmoja katika jamii kuhakikisha kuwa anamlinda mtoto wa kike dhidi ya mimba za mapema na maambukizi ya virusi vya HIV. Ni wito wake afisa katika shirika […]
-
WAFANYIKAZI KAUNTI YA TRANS NZOIA WAHIMIZWA KUSHIRIKIANA KIKAMILIFU NA SERIKALI.
Chama cha kutetea maslahi ya wafanyikazi katika kaunti ya Trans nzoia kimewahimiza wafanyikazi wa kaunti hiyo kushirikiana kikamilifu na uongozi wa gavana George Natembeya katika juhudi za kuimarisha miradi ya […]
-
SHIRIKA LA SICOM LAENDELEZA MIKAKATI YA KUKABILI ATHARI ZA UKAME POKOT MAGHARIBI.
Shirika lisillo la serikali la SICOM linalenga kuzindua mpango wa kuwawezesha wakazi wa maeneo mbali mbali ya kaunti hii ya Pokot magharibi hasa kina mama ili kuweza kujikimu hasa kipindi […]
-
WADAU POKOT MAGHARIBI WAONYWA DHIDI YA KUFANIKISHA WIZI WA MITIHANI YA KITAIFA.
Mitihani ya kitaifa kwa ajili ya darasa la nane KCPE na kidato cha nne KCSE ikiendelea kukaribia, wadau katika sekta ya elimu kaunti hii ya Pokot magharibi wameonywa dhidi ya […]
Top News










