News
-
UJENZI WA CHUMBA CHA KUJIFUNGUA CHAZINDULIWA KIMILILI
Serikali ya kaunti ya Bungoma imezindua ujenzi wa chumba cha kujifungua kina mama katika zahanati ya Bituyu eneo bunge la Kimilili. Kulingana na afisa mkuu katika wizara ya afya kaunti […]
-
WAKAAZI WA ENEO LA KAKONG’ TURKANA KUSINI WALALAMIKIA MAKALI YA NJAA
Zaidi ya wakaazi alfu 12 ambao wanaishi eneo la Kakong Turkana kusini kaunti ya Turkana wanalalamikia makali ya njaa pamoja na ukosefu wa maji kutokana na hali ya ukame ambao […]
-
WAKULIMA WALALAMIKIA ONGEZEKO LA BEI YA MAFUTA
Hisia kali zimeendelea kutolewa nchini kufuatia tangazo la mamlaka ya kudhibiti bei ya mafuta na kawi nchini EPRA la kuongeza bei ya mafuta.Kulingana na wakulima katika kaunti ya Trans Nzoia […]
-
MTU MMOJA AFARIKI HUKU SITA WAKIJERUHIWA KATIKA AJALI YA KARAS KAUNTI YA POKOT MAGHARIBI
Mtu mmoja amethibitishwa kuiaga dunia baada ya kuhusika kwenye ajali iliyohusisha pikipiki mbili jana usiku eneo la Karas kaunti hii ya Pokot Magharibi.Akithibitisha hayo daktari katika hospitali ya Kapenguria Jacob […]
-
HALI YAZIDI KUWA TETE KATIKA HOSPITALI YA KAPENGURIA
Serikali ya kaunti hii ya Pokot Magharibi imeendelea kushutumiwa kwa kuitelekeza hospitali ya Kapenguria.Seneta wa kaunti hii Samwel Poghisio amesema hospitali hiyo inakabiliwa na upungufu mkubwa wa vifaa muhimu vinavyopasa […]
-
WAKENYA WASHAURIWA KUZINGATIA MASHARTI YA KUZUIA MAAMBUKIZI ZAIDI YA VIRUSI VYA CORONA
Seneta wa kaunti hii ya Pokot Magharibi Dkt Samwel Poghisio amewataka wakazi wa kaunti hii kuendelea kuzingatia masharti yaliyowekwa na serikali kwa ushirikiano na wizara ya afya ili kukabili maambukizi […]
-
KINARA WA CHAMA CHA ODM RAILA ODINGA ATHIBITISHWA KUAMBUKIZWA VIRUSI VYA CORONA
Kinara wa chama cha ODM Raila Odinga amedhibitishwa kuambukizwa virusi vya corona siku 3 tu baada ya kulazwa katika hospitali ya Nairobi.Kulingana na daktari wake Odinga, David Oluoch Olunya ni […]
-
ASILIMIA 76 YA WANAUME KAUNTI YA TRANS NZOIA WAMEAMBUKIZWA VIRUSI VYA CORONA
Asilimia 76 ya wanaume kwenye kaunti ya Trans Nzoia wamethibitishwa kuambukizwa virusi vya corona.Hii inadaiwa ni kutokana na sekta ya uchukuzi kuwa kizingiti kikubwa kwenye kukabili maambukizi ya virusi hivyo.Waziri […]
-
HAKI ZA BINADAMU ZAKIUKWA ENEO LA TIATY KAUNTI YA BARINGO
Viongozi kutoka kaunti hii ya Pokot Magharibi wamelalamikia ukiukaji wa haki za binadamu kutokana na oparesheni kali ya polisi inayoendelea katika juhudi za kuimarisha usalama eneo la Tiaty kaunti ya […]
-
WAHUDUMU WA AFYA KAUNTI HII YA POKOT MAGHARIBI WAPOKEA CHANJO DHIDI YA VIRUSI VYA CORONA
Wahudumu wa afya kwenye kaunti hii ya Pokot Magharibi leo hii wamepokea kupokea chanjo ya virusi vya corona.Waziri wa afya kaunti hii Jackson Yaralima na maafisa wengine serikalini wamekuwa wa […]
Top News