News
-
WAKAZI MAKUTANO WAACHWA VINYWA WAZI HUKU MKAZI MMOJA AKIFANYA HARUSI NA ‘MUNGU’
Wakazi mjini makutano kaunti hii ya Pokot magharibi waliachwa na mshangao baada ya mama mmoja kutoka eneo la Kalorema kujifanyia harusi mwenyewe katika bustani ya Chelang’a mjini Makutano kwa madai […]
-
SHULE YA TABADAN ACADEMY YASIFIWA KWA KUWAHUDUMIA WAATHIRIWA WA DHULUMA ZA JINSIA
Wazazi wametakiwa kutowaondoa wanao katika shule ya msingi ya Tabadan academy iliyoko eneo la Kacheliba kaunti hii ya Pokot magharibi na badala yake kuhakikisha wanafunzi zaidi wanajiunga na shule hiyo. […]
-
IDARA ZA UCHUNGUZI ZATAKIWA KUCHUNGUZA KUPORWA FEDHA ZA CHAM CHA USHIRIKA KACHELIBA
Wanachama wa chama kimoja cha ushirika eneo la Kacheliba katika kaunti hii ya Pokot magharibi wanalilia haki baada ya kuporwa fedha zao na wanaodaiwa kuwa viongozi wa chama hicho wakitaka […]
-
FAMILIA YAOMBOLEZA KIFO CHA POLISI WA UTAWALA KISHAUNET
Familia moja eneo la Kishaunet kaunti hii ya Pokot magharibi inaendelea kuomboleza kifo cha mmoja wao Clement Mnang’at ambaye alikuwa mmoja wa polisi wa utawala waliouliwa majuzi kaunti ya Mandera, […]
-
UAMUZI WA KUTUPILIA MBALI MCHAKATO WA BBI WAENDEELA KUPONGEZWA
Uamuzi wa majaji watano wa mahakama kuu walioharamisha mchakato wa kuifanyia katiba marekebisho kupitia mswada wa BBI umeendelea kupongezwa wa hivi punde wakiwa ni viongozi kutoka kaunti ya Baringo. Wakiongozwa […]
-
SERIKALI YA UASIN GUSHU KUKUSANYA SHILINGI BILIONI 1.5 KABLA YA MWAKA WA KIFEDHA KUTAMATIKA
Serikali ya kaunti ya Uasin Gishu imesema kuwa inalenga kukusanya takriban shilingi bilioni 1.5 mapato yanayotokana na ulipaji ushuru kabla ya kutamatika kipindi cha kifedha cha mwaka 2021 – 2022. […]
-
WAKAAZI WA VIHIGA WATISHIA KUVUNJA SERIKALI YA KAUNTI HIYO
Baadhi ya wakaazi katika kaunti ya Vihiga wameanzisha mchakato wa kukusanya saini ili kufanikisha kuvunjwa kwa serikali ya kaunti hiyo. Kulingana na wakaazi hao ni kwamba serkali ya kaunti hiyo […]
-
JAMII ZA POKOT NA KARAMOJA KUHAMASISHWA UMUHIMU WA KUISHI KWA AMANI
Uongozi mpya wa wilaya ya Amudat katika mpakani pa kaunti hii ya Pokot Magharibi na taifa jirani la Uganda umeapa kuendeleza uhamasisho miongoni mwa jamii za eneo hilo ambazo ni […]
-
MRADI WA USAMBAZAJI WA MAJI WAZINDULIWA NAMUTOKHOLO KAUNTI YA BUNGOMA.
Wakazi wa eneo la Namutokholo eneo bunge la Sirisia kaunti ya Bungoma wamepata afueni baada ya serikali ya kaunti kuzindua mradi wa usambazaji maji eneo hilo mbalo limeshuhudia uhaba wa […]
-
JANGA LA CORONA LAATHIRI UTEKELEZWAJI WA MIRADI TRANS NZOIA.
Athari za janga la corona zimeathiri pakubwa utekelezaji wa miradi mbali mbali serikali kanda bonde la ufa.Akizungumza kwenye soko la Kolongolo katika kaunti ya Trans nzoia, mshirikishi wa utawala eneo […]
Top News