News
-
SERIKALI KUWAKABILI WALIMU WANAOFANIKISHA UDANGANYIFU KWENYE MITIHANI YA KITAIFA
Naibu Kamishna wa kaunti hii ya Pokot Magharibi Kennedy Lunalo amegadhabishwa na kauli za wanafunzi wa shule za upili katika kaunti hii kwamba walimu wao hawajakuwa wakiwasaidia kuiba mtihani ili […]
-
WAKULIMA WA NYASI WANUFAIKA NA UFADHILI KUTOKA SHIRIKA LA NRT.
Shirika la NRT limetoa kilo 600 za mbegu ya nyasi kwa wakulima ambazo zinanuiwa kupandwa katika ekari 60 eneo la Masol kaunti ya Pokot magharibi.Akizungumza baada ya kukutana na wakulima […]
-
WADAU WATAKIWA KUINGILIA KATI CHANGAMOTO ZINAZOKUMBA SHULE YA UPILI YA KIWAWA.
Wadau katika kaunti hii ya Pokot magharibi wametakiwa kuingilia kati na kuisaidia shule ya upili ya wavulana ya Kiwawa iliyo katika eneo bunge la Kacheliba kufuatia changamoto nyingi zinazoikumba shule […]
-
UDA CHAENDELEA KUJIUZA POKOT MAGHARIBI.
Baadhi ya viongozi katika kaunti ya Pokot magharibi wanachama wa chama cha UDA ambacho kinahusishwa na naibu rais William Ruto wamendelea kukipigia debe chama hicho kwa lengo la kukiuza mashinani.Julius […]
-
MBINU ZA UPANGAJI UZAZI ZAKUMBATIWA POKOT MAGHARIBI.
Idadi kubwa ya kina mama katika kaunti ya Pokot magharibi wamekumbatia mbinu za kisasa za upangaji uzazi.Haya ni kulingana na utafiti ulioendeshwa na shirika la Performance Mornitoring Action PMA ambao […]
-
UONGOZI WA SHULE YA KAPKECHO WASHUTUMIWA KWA MATUMIZI MABAYA YA FEDHA.
Wazazi wa shule ya upili ya Kapkecho eneo la Siyoi katika kaunti ya Pokot magharibi wameshutumu uongozi wa shule hiyo kwa kile wamedai usimamizi mbaya huku wakitaka mwalimu mkuu wa […]
-
WADAU WATAKIWA KUIMARISHA SEKTA YA ELIMU KACHELIBA.
Mbunge wa kacheliba kaunti ya Pokot magharibi Mark Lumnokol ametoa wito kwa serikali kupitia wizara ya elimu na wadau mbali mbali kuzingatia zaidi eneo hilo katika kuimarisha sekta ya elimu.Lumnokol […]
-
GAVANA KHAEMBA ATAKIWA KUFIKA MBELE YA KAMATI YA UHASIBU YA BUNGE LA TRANS NZOIA.
Kamati ya uhasibu katika bunge la kaunti ya Trans-nzoia ikiongozwa na mwenyekiti wake Peter Waswa ambaye pia ni mwakilishi wadi ya bidii wamemualika gavana Patrick Khaemba pamoja na maafisa wake […]
-
POGHISIO APUUZILIA MBALI PENDEKEZO LA KUAHIRISHA KURA YA MAAMUZI.
Seneta wa kaunti ya Pokot magharibi Samwel Poghisio amepuuzilia mbali pendekezo la baadhi ya viongozi wa dini kuwa kura ya maamuzi kuhusu marekebisho ya katiba iandaliwe baada ya uchaguzi mkuu […]
-
SERIKALI YA POKOT MAGHARIBI NA UGANDA ZAWEKA MIKAKATI YA KUHAKIKISHA ELIMU KWA MTOTO WA KIKE.
Serikali ya kaunti hii ya Pokot magharibi na taifa jirani la Uganda zimeweka mikakati ya kuhakikisha kuwa visa vya ukeketaji na ndoa za mapema kwa mtoto wa kike vinakabiliwa na […]
Top News