News
-
MPANGO WA KUTOA VISODO KWA WANAFUNZI WAZINDULIWA POKOT MAGHARIBI
Idadi kubwa ya wanafunzi wa kike kaunti hii ya Pokot magharibi hulazimika kusitisha masomo yao kutokana na unyanyapaa unaotokana na hadhi.Akizungumza wakati wa uzinduzi wa zoezi la kutoa visodo kwa […]
-
‘ZIARA YA RAIS RIFT VALLEY ITAKUWA NA UFANISI MKUBWA’ ASEMA MOROTO.
Tofauti baina rais Uhuru Kenyatta na naibu wake William Ruto hazitaathiri kwa vyovyote ziara ya rais inayopangiwa eneo la rift valley ambalo ni ngome yake Ruto.Haya ni kwa mujibu wa […]
-
DKT SAMUEL POGHISIO ATETEA UTENDAKAZI WAKE KAMA SENETA WA POKOT MAGHARIBI
Seneta wa kaunti hii ya pokot magharibi Dkt samuel poghisio ametetea utendakazi wake kama seneta wa kaunti hii tangia alipochaguliwa afisini.Akizungumza wakati wa ufunguzi rasmi wa kanisa katoliki eneo la […]
-
SERIKALI KUU YATAKIWA KUIMARISHA USALAMA KATIKA MIPAKA YA KAUNTI YA POKOT MAGHARIBI
Serikali imetakiwa kuweka mikakati ya kuimarisha usalama katika mipaka ya kaunti hii ya Pokot Magharibi na kaunti jirani hasa Baringo, Turkana na Elgeyo Marakwet.Wakiongozwa na Lomer Japheth, wakazi katika kaunti […]
-
‘MCHAKATO WA KUIFANYIA KATIBA MAREKEBISHO KUREJELEWA’ ASEMA SENETA WA BARINGO GIDEON MOI
Seneta wa kaunti ya Baringo Gideon Moi ameelezea imani kwamba majaji saba wa mahakama ya rufaa walioskiza kesi za kupinga kuharamishwa kwa mchakato wa BBI watabatilisha uamuzi uliotolewa na majaji […]
-
WIZI WA PIKIPIKI WAKITHIRI POKOT MAGHARIBI
Wahudumu boda boda katika kaunti hii ya pokot magharibi wameendelea kulalamikia ongezeko la wizi wa pikipiki. Kilio cha wanaboda boda hao kinajiri baada ya pikipiki moja kuibiwa eneo la Maili […]
-
WITO WA AMANI WATOLEWA BAINA YA KAUNTI ZA POKOT MAGHARIBI NA ELGEYO MARAKWET.
Wito umetolewa kwa viongozi wa kaunti hii ya Pokot magharibi na kaunti jirani ya Elgeyo marakwet kuandaa mazungumzo ya kumaliza visa vya uvamizi ambao umegharimu maisha ya wakazi wengi.Ni wito […]
-
MIMBA ZA MAPEMA ZASALIA CHANGAMOTO KAUNTI YA POKOT MAGHARIBI.
Mimba za mapema miongoni mwa wanafunzi zimesalia changamoto katika shule za kaunti hii ya Pokot magharibi.Kulingana na mwalimu mkuu wa shule ya upili ya St Anthony of Pador Sina Simon […]
-
MBUNGE WA POKOT KUSINI AKASHIFIWA KWA KULEMAZA MIRADI YA MAENDELEO ENEO HILO.
Aliyekuwa kiongozi wa wengi katika bunge la kaunti hii ya pokot magharibi kwenye serikali iliyotangulia Simon Kalekem amemshutumu mbunge wa pokot kusini David Pkosing kwa kile amedai utepetevu katika utendakazi […]
-
UTEUZI WA NAIBU CHIFU MPYA YUALATEKE WAPINGWA NA WAKAZI.
Wakazi wa yualateke eneo la kipkomo kaunti hii ya pokot magharibi wameandamana wakilalamikia kuteuliwa naibu chifu eneo hilo wakidai si mkazi wa eneo hilo.Wakiongozwa na Wilson Amanang’ole wakazi hao wamedai […]
Top News