News
-
WADAU WATAKIWA KUIMARISHA SEKTA YA ELIMU KACHELIBA.
Mbunge wa kacheliba kaunti ya Pokot magharibi Mark Lumnokol ametoa wito kwa serikali kupitia wizara ya elimu na wadau mbali mbali kuzingatia zaidi eneo hilo katika kuimarisha sekta ya elimu.Lumnokol […]
-
GAVANA KHAEMBA ATAKIWA KUFIKA MBELE YA KAMATI YA UHASIBU YA BUNGE LA TRANS NZOIA.
Kamati ya uhasibu katika bunge la kaunti ya Trans-nzoia ikiongozwa na mwenyekiti wake Peter Waswa ambaye pia ni mwakilishi wadi ya bidii wamemualika gavana Patrick Khaemba pamoja na maafisa wake […]
-
POGHISIO APUUZILIA MBALI PENDEKEZO LA KUAHIRISHA KURA YA MAAMUZI.
Seneta wa kaunti ya Pokot magharibi Samwel Poghisio amepuuzilia mbali pendekezo la baadhi ya viongozi wa dini kuwa kura ya maamuzi kuhusu marekebisho ya katiba iandaliwe baada ya uchaguzi mkuu […]
-
SERIKALI YA POKOT MAGHARIBI NA UGANDA ZAWEKA MIKAKATI YA KUHAKIKISHA ELIMU KWA MTOTO WA KIKE.
Serikali ya kaunti hii ya Pokot magharibi na taifa jirani la Uganda zimeweka mikakati ya kuhakikisha kuwa visa vya ukeketaji na ndoa za mapema kwa mtoto wa kike vinakabiliwa na […]
-
PUKOSE ATOA MATIBABU YA BURE YA UPASUAJI KWA WENYEJI WA ENDEBES
Mbunge wa Endebess DKT Robert Pukose aliadhimisha siku ya madaraka kwa kutoa huduma bure za afya kwa wenyeji wa eneo bunge lake ambao wamekuwa wakiteseka kwa muda mrefu kutokana na […]
-
WAZIRI MUNYA ATAKIWA KUSHUGHULIKIA MASLAHI YA WAKULIMA WA MIWA MAGHARIBI YA NCHI
Mbunge wa kanduyi kaunti ya Bungoma Wafula Wamunyinyi amemtaka waziri wa kilimo Peter Munya kubuni kamati maalum itakayoshughulikia masaibu ambayo wakulima katika kiwanda cha sukari cha Nzoia wanapitia.Wamunyinyi amesema kuwa […]
-
UONGOZI WA GAVANA LONYANGAPUO WAENDELEA KUKOSOLEWA
Seneta wa kaunti hii ya pokot magharibi samwel poghisio ameendelea kukosoa hulka ya kubadilishwa kila mara maafisa wa serikali ya kaunti hii na gavana john lonyangapuo.Akizungumza katika mahojiano ya kipekee […]
-
MWANAMMKE ALIYEFUNGA HARUSI NA ROHO MTAKATIFU KAUNTI YA POKOT MAGHARIBI AANZA UTUMISHI RASMI
Mwanamke aliyefunga harusi na Roho Mtakatifu katika Kaunti ya Pokot Magharibi wiki iliyopita Elizabeth Nalem ameanza rasmi utumishi wake kwa Mungu huku akisema ameagizwa kuzunguka dunia nzima.Akizungumza na wanahabari katika […]
-
UAMUZI WA RAIS KUONGEZA KAFYU KWA SIKU 60 WAKASHIFIWA VIKALI
Baadhi ya wafanya biashara mjini Eldoret katika kaunti ya Uasin Gishu wamekosoa hatua ya serikali kuongeza mda wa kutekeleza marufuku ya kafyu kwa siku 60 zaidi kuanzia tarehe 28 mwezi […]
-
CHAMA CHA UDA CHAENDELEA KUPIGIWA UPATO POKOT MAGHARIBI
Viongozi mbali mbali wandani wa naibu Rais William Ruto katika kaunti hii ya Pokot Magharibi wameendelea kupigia upato chama cha UDA kinachohusishwa na Ruto wakikitaja kuwa suluhu kwa changamoto zinazowakumba […]
Top News