News
-
SERIKALI YATAKIWA KUTUMA FEDHA ZA CDF BAJETI IKISOMWA LEO.
Waziri wa fedha Ukur Yattani akitarajiwa leo kusoma bajeti ya kipindi cha mwaka 2021/2022, wito umetolewa kwa serikali imetakiwa kutuma fedha za maendeleo ya maeneo bunge ya kipindi cha fedha […]
-
NDOA ZA MAPEMA ZAPUNGUA POKOT KASKAZINI.
Visa vya ndoa za mapema vimepungua eneo la Pokot kaskazini katika kaunti hii ya pokot magharibi katika siku za hivi karibuni kutokana na mipango mbali mbali inayoendeshwa eneo hilo na […]
-
ASILIMIA KUBWA YA WAKAZI TRANS NZOIA HAWANA BIMA YA NHIF.
Imebainika kwamba asilimia 77 ya wakazi wa kaunti ya Trans nzoia hawajajitokeza kusajili kupata bima hivyo basi kutatizika wanapotafuta matibabu .Akipokea ada ya NHIF kutoka kwa usimamizi wa Transnational times […]
-
MAGOHA ASHUTUMIWA KWA AGIZO LA KUWATUMA WANAFUNZI NYUMBANI KUTAFUTA KARO.
Hisia mseto zimeendelea kuibuliwa miongoni mwa viongozi na wanachi kwa jumla nchini kufuatia agizo la waziri wa elimu prof. George magoha kuwataka walimu wakuu kuwatuma nyumbani wanafunzi ambao hawajakamilisha kulipa […]
-
MAGOHA ASHUTUMIWA KWA AGIZO LA KUWATUMA NYUMBANI WANAFUNZI.
Hisia mseto zimeendelea kuibuliwa kufuatia hatua ya waziri wa elimu profesa George Magoha kuwaagiza walimu wakuu kuhakikisha kuwa wazazi wanalipa karo kwa kuwatuma nyumbani wanafunzi ambao hawajakamilisha karo.Wakiongozwa na Henry […]
-
WAZAZI WA SHULE YA UPILI YA ST COMBONI WATAKIWA KUWAREJESHA WANAO SHULENI.
Wazazi wa wanafunzi wa shule ya upili ya wavulana ya St Comboni eneo la Alale kaunti hii ya Pokot magharibi wametakiwa kuhakikisha kuwa wanao wanarejea shuleni baada ya kukamilika likizo […]
-
HOSPITALI YA KACHELIBA YAKANUSHA MADAI YA KUTOKUWEPO DAWA ZA KUTOSHA.
Uongozi wa hospitali ya level four ya Kacheliba kaunti hii ya Pokot magharibi umekanusha madai ya kuwepo ukosefu wa dawa katika hospitali hiyo.Akizungumza afisini mwake, msimamizi mkuu wa hospitali hiyo […]
-
VIJANA BUNGOMA WAHIMIZWA KUWATUNZA WAZAZI WAO.
Vijana katika kaunti ya Bungoma wamehimizwa kutowatelekeza wazazi wao hasa katika umri wao wa uzeeni na badala yake kuchukua majukumu ya kuwatunza.Wakizungumza katika wadi ya Matulo eneo bunge la Webuye […]
-
VIONGOZI KAUNTI YA POKOT MAGHARIBI WAONYWA DHIDI YA KUINGIZA SIASA SHULENI.
Wito umetolewa kwa viongozi wa kisiasa katika kaunti hii ya Pokot magharibi kukoma kutumia raslimali za shule kuendeleza shughuli zao za kisiasa.Akirejelea hafla iliyoandaliwa katika shule ya upili ya Kiwawa […]
-
TSC YATAKIWA KUAJIRI WALIMU ZAIDI KWA SHULE ZA KAUNTI YA POKOT MAGHARIBI
Tume ya huduma kwa walimu TSC imetakiwa kuhakikisha walimu zaidi wanatumwa katika shule za kaunti hii ili kuiwezesha kuwa katika nafasi bora ya kutoa ushindani unaostahili na kuwa sawa na […]
Top News