News
-
SERIKALI YATAKIWA KUTWAA SILAHA ZINAZOMILIKIWA KINYUME CHA SHERIA KERIO VALLEY.
Wito umetolewa kwa serikali kuendesha oparesheni ya kuondoa silaha zinazomilikiwa kinyume cha sheria miongoni mwa raia katika bonde la Kerio hasa eneo la Chesogon mpakani pa kaunti hii ya Pokot […]
-
SERIKALI YA POKOT MAGHARIBI YASHUTUMIWA KWA KUITELEKEZA IDARA YA AFYA.
Baadhi ya viongozi katika kaunti hii ya Pokot magharibi wameendeleza shutuma zao dhidi ya uongozi wa kaunti hii kwa kile wanadai kuitelekeza hospitali ya Kapenguria.Wakiongozwa na seneta Samwel Poghisio, viongozi […]
-
WADAU WATAKIWA KUISAIDIA SHULE YA MSINGI YA KUTUNG BAADA YA BWENI KUTEKETEA.
Wadau mbali mbali katika kaunti hii ya Pokot Magharibi wametakiwa kujitokeza kuisaidia shule ya msingi ya Kutung eneo la Riwo baada ya bweni la shule hiyo pamoja na hifadhi ya […]
-
MUKENYANG AELEKEA MAHAKAMANI KUPINGA KUBANDULIWA AFISINI.
Aliyekuwa spika wa bunge la kaunti hii ya Pokot magharibi Catherine Mukenyang amewalaumu wabunge katika bunge hilo kwa hatua ya kumbandua afisini bila ya kumpa nafasi ya kujitetea ndhidi ya […]
-
HISIA ZAGHUBIKA KUBANDULIWA AFISINI SPIKA MUKENYANG.
Hatua ya kubanduliwa afisini spika wa bunge la kaunti ya Pokot magharibi Catherine Mukenyang na wabunge katika bunge hilo imeendelea kuibua hisia mseto miongoni mwa wakazi kaunti hii.Wakiongozwa na James […]
-
SERIKALI YATAKIWA KUARAKISHA UTOAJI WA HATI MILIKI KWA WAKAZI WA CHEPCHOINA.
Ipo haja kwa serikali kuharakisha shughuli za ugavi na utoaji wa hatimiliki ya ardhi kwa wenyeji wa Chepchoina eneo bunge la Endebess Kaunti ya Trans Nzoia, ambayo kwa muda mrefu […]
-
WALIOPATA DOZI YA KWANZA YA CORONA BUNGOMA WATAKIWA KUJITOKEZA KUPOKEA DOZI YA PILI.
Wakazi katika kaunti ya Bungoma ambao walipokea dozi ya kwanza ya chanjo dhidi ya virusi vya corona wametakiwa kujitokeza na kupokea dozi ya pili.Waziri wa afya katika kaunti hiyo Anthony […]
-
MUKENYANG ABANDULIWA KAMA SPIKA WA BUNGE LA POKOT MAGHARIBI
Spika wa bunge la kaunti ya Pokot magharibi Catherine Mukenyang hatimaye ameondolewa afisini. Hii ni baada ya idadi kubwa ya wabunge katika bunge hilo kuunga mkono hoja ya kumwondoa afisini […]
-
LONYANGAPUO ATAKA SEKTA YA ELIMU KUGHATULIWA KIKAMILIFU.
Gavana wa kaunti hii ya Pokot magharibi John Lonyangapuo amelalamikia pakubwa sehemu kubwa ya sekta ya elimu kusimamiwa na serikali kuu huku serikali za kaunti zikiachiwa kusimia elimu ya chekechea.Akizungumza […]
-
HATIMA YA SPIKA MUKENYANG KUBAINIKA LEO HUKU VIONGOZI WAKIENDELEA KUSHUTUMU HOJA YA KUBANDULIWA KWAKE.
Bunge la kaunti ya Pokot magharibi linapotarajiwa leo kujadili hoja ya kumbandua spika wa bunge hilo Catherine Mukenyang, baadhi ya viongozi kaunti hii wameendelea kukashifu hatua hiyo wanayodai imechochewa kisiasa.Wa […]
Top News










