News
-
WATU WATATU WAFARIKI BAADA YA KUFUNIKWA NA MGODI POKOT KUSINI.
Wachimba migodi watatu wameripotiwa kufunikwa na mchanga walipokuwa wakichimba migodi eneo la Murian katika wadi ya Batei eneo bunge la Pokot kusini baada ya kuporomoka mgodi huo.Kulingana na Jackson Lomuk […]
-
SERIKALI YATAKIWA KUFUNGA VICHINJIO VYA PUNDA.
Wakulima wanaofuga punda wametakiwa kuwatunza vyema wanyama hao ambao mara nyingi wamekuwa wakitelekezwa pakubwa.Ni wito wake afisa katika shirika lisilo la kiserikali la Farming Systems Kenya Humphrey Wafula ambaye amesema […]
-
RAIS ATAKIWA KUSHUGHULIKIA SWALA LA MASKWATA TRANS NZOIA.
Rais Uhuru Kenyatta anapotarajiwa kuzuru eneo la bonde la ufa, wakazi wa kaunti ya Trans nzoia wamemwomba kuangazia tatizo la maskwota na unyakuzi wa ardhi zilizotengewa taasisi za elimu miongoni […]
-
VIONGOZI WA UDA WAENDELEA KUKIPIGIA DEBE POKOT MAGHARIBI.
Viongozi wanaounga mkono chama cha UDA kinachohusishwa na naibu rais William Ruto katika kaunti hii ya pokot magharibi wameendelea kukipigia debe chama hicho.Mbunge wa kapenguria Samwel Moroto ameelezea imani kuwa […]
-
VIONGOZI TIATI WAAPA KUSHIRIKIANA KATIKAKUMALIZA WIZI WA MIFUGO.
Viongozi eneo bunge la Tiati kaunti ya Baringo wameahidi kushirikiana na maafisa wa usalama pamoja na wakazi ili kuwakabili wezi wa mifugo wanaodaiwa kutoka eneo bunge hilo.Wakiongozwa na mwakilishi wadi […]
-
HITAJI LA KUWA NA SHAHADA KWA WANAOWANIA NYADHIFA ZA SIASA LAENDELEA KUZUA HISIA.
Hisia mbalimbali zinazidi kutolewa kuhusiana na hitaji la wanaotaka kuwania viti mbalimbali kuwa na shahada.Mwakilishi wadi wa Matumbei eneo bunge la Endebes kaunti ya Trans nzoia Jeremiah Wakhulia amesema iwapo […]
-
ASKARI WA KAUNTI WALAUMIWA KWA KUWADHULUMU WAHUDUMU WA BODA BODA.
Askari wa kaunti mjini makutano kaunti hii ya pokot magharibi wameshutumiwa kutumia nafasi yao kuwadhulumu wahudumu wa boda boda mjini humo.Hii ni baada ya mhudumu mmoja wa boda boda kudaiwa […]
-
NEMA YAENDELEZA OPARESHENI DHIDI YA KARATASI ZA PLASTIKI
Mfanyibiashara mmoja mjini chepareria kaunti hii ya Pokot magharibi anazuiliwa na maafisa wa polisi baada ya kukamatwa jana na maafisa kutoka mamlaka ya mazingira NEMA kwa kupatikana na karatasi za […]
-
MIMBA ZA MAPEMA ZINGALI CHANGAMOTO POKOT MAGHARIBI.
Wito umetolewa kwa wadau katika kaunti hii ya pokot magharibi kuchangia katika kusuluhisha tatizo la mimba za mapema miongoni mwa wanafunzi hasa wa kike ili kuwawezesha kukamilisha masomo yao.Ni wito […]
-
SERIKALI KULEGEZA MASHARTI YA KUKABILI WIZI WA MIFUGO BARINGO.
Serikali ya kitaifa itaangazia upya mikakati iliyowekwa awali kukabili tatizo la usalama kwenye kaunti ya Baringo na maeneo jirani.Akizungumza baada ya mkutano na viongozi wa eneo bunge la Tiati, mshirikishi […]
Top News