News
-
SERIKALI YA TRANS NZOIA YAWEKA MIKAKATI YA KUKABILI MABADILIKO YA TABIA NCHI.
Wizara ya maji mazingira na mali asili katika kaunti ya Trans Nzoia imetenga bajeti ya shilingi Milioni 20 kwa upanzi wa miti na utunzaji wa mazingira kama njia moja ya […]
-
WAKAZI WA POKOT MAGHARIBI WATAKIWA KUKUMBATIA MTAALA WA CBC.
Wadau wa elimu katika kaunti hii ya Pokot magharibi wameendelea kuwahimiza wananchi kukumbatia mtaala mpya wa elimu CBC ambao wameutaja kuwa na manufaa makubwa kwani unaangazia maswala mengi na yenye […]
-
BAADHI YA VIONGOZI TRANS NZOIA WAPUUZA MIITO YA KUPATANISHWA RAIS NA NAIBU WAKE.
Hisia mseto zimeendelea kuibuka nchini kufuatia tangazo la baraza la maaskofu wa kanisa katoliki kuwa lipo tayari kuwaunganisha rais Uhuru kenyatta na naibu wake William Ruto.Wa hivi punde kuzungumzia swala […]
-
DEMOKRASIA VYAMANI YATILIWA SHAKA.
Ni hatua chache mno zimepigwa ili kuafikiwa kwa demokrasia katika vyama vya kisiasa humu nchini.Haya ni kwa mujibu wa mkurugenzi mkuu wa shirika la Haki na Amani Justice and Peace […]
-
VIONGOZI WATAKIWA KUIMARISHA MIUNDO MSINGI ALALE POKOT MAGHARIBI.
Viongozi eneo bunge la kacheliba kaunti hii ya Pokot magharibi wametakiwa kuangazia kikamilifu changamoto ambazo zinawakumba wakazi hasa katika eneo la Akoret wadi ya alale.Wakiongozwa na Emmanuel Napareng wakazi hao […]
-
‘HATUNA HOFU NA USALAMA WA CHAKULA POKOT MAGHARIBI’ YASEMA NDMA.
Mamlaka ya kushughulikia majanga NDMA kuanti hii ya pokot magharibi imeendeleza vikao vya kuangazia hali ya chakula katika kaunti hii ya pokot magharibi na kubaini maeneo ambayo yatahitaji misaada kutokana […]
-
WAUZAJI POMBE HARAMU TRANS NZOIA WAONYWA.
Idara ya uisaloama kaunti ya Trans nzoia kwa ushirikiano na kamati ya kutoa leseni kwa wauzaji wa vileo wameanzisha mikakati ya kukabiliana na watu wanaoingiza pombe haramu kutoka taifa jirani […]
-
BUNGE LA TAIFA LALAUMIWA KWA ONGEZEKO LA BEI ZA MAFUTA YA PETROLI.
Baadhi ya wahudumu wa boda boda katika kaunti hii ya Pokot magharibi sasa wameelekeza ghadahabu zao kwa bunge la taifa kwa kutochukua hatua za kuhakikisha bei ya mafuta inadhibitiwa nchini […]
-
SERIKALI YA POKOT MAGHARIBI YAAHIDI KUWEKEZA KATIKA WATAALAM.
Serikali ya kaunti hii ya Pokot magharibi imetenga zaidi ya shilingi milioni 30 zitakazotumika kufadhili wakazi kutoka kaunti hii waliofuzu katika taaluma mbali mbali kuendeleza masomo katika mataifa ya nje.Haya […]
-
KITUO CHA UPASUAJI CHAZINDULIWA KAPENGURIA.
Kituo cha kufanya upasuaji wa magonjwa sugu kimezinduliwa rasmi hii leo katika hospitali ya kapenguria kaunti hii ya pokot magharibi uzinduzi ambao umeongozwa na gavana John Lonyangapuo.Lonyangapuo amesema kuwa kuzinduliwa […]
Top News










