News
-
WAKULIMA WATAKIWA KUKUMBATIA KONDOO AINA YA DOPPER.
Wakulimakatika kaunti hii ya Pokot magharibi wametakiwa kukumbatia ufugaji wa kondoo aina ya Dopper.Akizungumza eneo la siyoi kaunti hii ya Pokot magharibi katika shughuli ya kutoa kondoo hao kwa makundi […]
-
MIMBA ZA MAPEMA ZASALIA KERO POKOT MAGHARIBI.
Takwimu za shirika la AMREF zinaashiria kuwa visa vya mimba za mapema katika kaunti hii ya Pokot magharibi zinazidi viwango vya kitaifa.Haya ni kwa mujibu wa mshirikishi wa shirika hilo […]
-
POGHISIO ASHUTUMU MIKUTANO YA AMANI KERIO VALLEY ISIYOZAA MATUNDA.
Seneta wa kaunti hii ya Pokot magharibi Samwel Poghisio amekosoa mikutano ya amani ambayo imekuwa ikiandaliwa na viongozi kutoka katika kaunti za bonde la kerio ambazo zinashuhudia uvamizi unaotokana na […]
-
VIONGOZI WA DINI WATAKA MAKANISA KUFUNGULIWA BUNGOMA.
Viongozi wa dini katika kaunti ya Bungoma wameendelea kuishinikiza serikali kuruhusu kuendelea ibaada makanisani kwa kuzingatia kanuni za kukabili maambukizi ya virusi vya corona.Viongozi hao wamesema kuwa kufunguliwa kwa makanisa […]
-
JUHUDI ZA KUKABILI UKEKETAJI BARINGO ZAPONGEZWA
Viongozi pamoja na wanaharakati wa kutetea haki za watoto eneo bunge la Tiati kaunti ya Baringo wameelezea kuridhishwa na hatua zilizopigwa katika kukabili ukeketaji.Wakiongozwa na mwakilishi wadi ya Loya Moroko […]
-
WATU WATANO WAULIWA NA WAVAMIZI MARAKWET MASHARIKI.
Polisi wameimarisha doria eneo la Marakwet mashariki katika kaunti ya Elgeyo marakwet baada ya wezi wa mifugo kuvamia eneo hilo jana na kuwaua watu watano kwa risasi huku wengine watatu […]
-
MTU MMOJA AULIWA KATIKA MAKABILIANO NA POLISI MPAKANI PA POKOT MAGHARIBI NA ELGEYO MARAKWET.
Mtu mmoja ameuawa kwa kupigwa risasi baada ya kutokea makabiliano ya risasi Kati ya watu wa jamii zinazoishi kwenye mpaka wa marakwet na Pokot upande wa Baringo.Mtu mwingine mmoja anauguza […]
-
SERIKALI YATAKIWA KUJENGA DARAJA KWENYE MTO SHALPO.
Wakazi wa eneo la shalpo katika kaunti hii ya Pokot magharibi wametoa wito kwa serikali ya kaunti hii kujenga daraja kwenye mto wa eneo hilo litakalowawezesha kuvuka bila wasiwasi hasa […]
-
UCHUNGUZI WAANZISHWA KUHUSU UTATA UNAOZINGIRA KIFO CHA KANGOGO.
Makachero wa idara ya upelelezi wa jinai DCI kwenye kitengo cha kuchunguza mauaji wametumwa katika kaunti ya Elgeyo marakwet kuchunguza kifo cha afisa wa polisi mwanamke Caroline Kangogo.Kifo chake Kangogo […]
-
UDA YATAKIWA KUTOJIPIGA KIFUA KUFUATIA USHIONDI WA KIAMBAA.
Ushindi wa mwaniaji wa UDA katika uchaguzi mdogo wa ubunge eneo la Kiambaa hauashirii chochote kuhusu umaarufu wa UDA maeneo mbali mbali nchini.Haya ni kwa mujibu wa seneta wa kaunti […]
Top News