News
-
MASHIRIKA NA SEFA NA NRT YAENDELEA KUWANUFAISHA WAKULIMA POKOT MAGHARIBI.
Wakulima eneo la orolwo, eneo bunge la Sigor katika kaunti hii ya Pokot magharibi wamenufaika na mbegu za mimea mbali mbali kutoka kwa shirika la sefa kwa ushirikiano na lile […]
-
UONGOZI WA TRANS NZOIA WAHIMIZWA KURAHISISHA SHUGHULI YA UTOAJI VITAMBULISHO.
Shinikizo zinazidi kutolewa kwa uongozi wa Kaunti ya Trans Nzoia kurahisisha shughuli ya utoaji wa vitambulisho kwa vijana waliohitimu kupata vitambulisho eneo bunge la Endebess badala ya kuwahangaisha kwa misingi […]
-
WAKAZI BARINGO WAHIMIZWA KUKUMBATIA AMANI.
Wakazi wa kaunti ya Baringo wamehimizwa kuwa msitari wa mbele kuhakikisha kuwa amani inadumishwa katika maeneo ambayo hushuhudia visa vya wizi wa mifugo.Kamishina wa kaunti hiyo Henry Wafula amesema kuwa […]
-
POLISI WALAUMIWA KWA KUWAKAMATA KIHOLELA WAKAZI MAKUTANO.polisi
Wakazi mjini makutano kaunti hii ya Pokot magharibi wameendelea kulalamikia kile wamedai kukamatwa kiholela na maafisa wa polisi kwa madai ya kutekeleza kanuni za kukabili msambao wa virusi vya corona.Wakizungumza […]
-
KAUNTI ZA BONDE LA KERIO ZATAKIWA KUKUMBATIA AMANI.
Gavana wa Baringo Starnely Kiptis amewashauri wakaazi wa maeneo ya bonde la kerio na kaunti nyingine ambazo zinashuhudiwa wizi wa mifugo kusitisha uhasama na kuishi kwa amani.Kiptis amesema kwamba mashambulizi […]
-
UTENDAKAZI WA EUGENE WAMALWA WATETEWA NA VIONGOZI TRANS NZOIA.
Viongozi mbambali kutoka Kaunti ya Trans-Nzoia wamejitokeza na kutetea utendaji kati wa waziri wa Ugatuzi Eugine Wamalwa kufuatia shutuma kutoka kwa wabunge Dkt Chris Wamalwa na Robert Pukose wakisema amewatekelezea […]
-
MASHIRIKA MBALI MBALI YAPIGA JEKI JUHUDI ZA KUIMARISHA ELIMU YA MTOTO WA KIKE POKOT MAGHARIBI.
Zaidi ya wanafunzi 300 kutoka shule mbali mbali kaunti hii ya Pokot magharibi wamenufaika na vitambaa vya hedhi kwa wanafunzi wa kike pamoja na mavazi ya ndani kwa wanafunzi wa […]
-
SERIKALI YA POKOT MAGHARIBI YAIMARISHA JUHUDI ZA KUKABILI MALARIA.
Serikali ya kaunti hii ya pokot magharibi kupitia wizara ya afya inatarajiwa kusambaza neti kwa wakazi ambao walijisajili katika juhudi za kukabali kusambaa ugonjwa wa malaria hasa msimu huu wa […]
-
MIITO YA KUPATANA RAIS KENYATTA NA NAIBU WAKE YAZIDI KUTOLEWA.
Tangazo la baraza la maaskofu kwamba liko tayari kuwapatanisha rais uhuru kenyata na naibu wake Wiliam Ruto limetajwa kuwa lenye umuhimu mkubwa katika kuleta umoja amani na utangamano wa taifa.Mshirikishi […]
-
WAKAZI WA SALAMA ENDEBES WAPOKEZWA HATI MILIKI.
Zaidi ya wanachama mia tatu kutoka shamba la salama eneo bunge la Endebes kaunti ya Trans nzoia wamepata hati miliki ya ardhi kupitia kwa serikali kuu kwenye shamba la ekari […]
Top News










