News
-
RAIS ATAKIWA KUONDOA KAFYU SHULE ZINAPOFUNGULIWA RASMI.
Wazazi katika kaunti ya Trans nzoia wamewaomba walimu wakuu kuzingatia agizo la waziri wa elimu prof. George Magoha la kutowatuma nyumbani wanafunzi kufuatia ukosefu wa karo.Wazazi hao wamesema kuwa wamepitia […]
-
KUKAMATWA MAJAJI WAWILI KWAZIDI KUKASHIFIWA.
Hisia mseto zimeendelea kuibuliwa miongoni mwa wananchi kufuatia hatua ya maafisa wa DCI kuwatia mbaroni majaji wawili Aggrey Mchelule na Said Chitembwe juma jana na kuwahoji kabla ya kuwaachilia muda […]
-
POGHISIO ATETEA HATUA YA KANU KUTOJIONDOA JUBILEE ILI KUBUNI OKA
Seneta wa kaunti hii ya Pokot magharibi Samwel Poghisio ametetea hatua ya chama cha KANU kusalia katika chama cha Jubilee licha ya kubuni muungano wa One Kenya Alliance na vyama […]
-
WALIMU WATAKIWA KUTOWAREJESHA NYUMBANI WANAFUNZI SHULE ZINAPOFUNGULIWA LEO.
Shule zinapofunguliwa leo kwa muhula wa kwanza miito imeendwelea kutolewa kwa serikali kuhakikisha kuwa wanafunzi wanasalia shuleni kuhudhuria masomo na kutoruhusu walimu wakuu kuwarejesha nyumbani kutafuta karo.Wa hivi punde kutoa […]
-
MASHARIKA YA KIJAMII YATAKA HAKI ZA WATOTO KULINDWA.
Ili kuhakikisha watoto na kinamama wanaodhulumiwa katika jamii wanapata haki, ni sharti kuwepo mikakati ya kudumu na ushirikiano baina ya mashirika yasiyokuwa ya kiserikali yanayoangazia maswala ya watoto pamoja na […]
-
HOSPITALI YA ST RAPHAEL MATISI YANUFAIKA NA SHILINGI MILIONI 4.1
Siku chache baada ya mbunge wa Saboti Caleb Amisi kuwasilisha mswada kwa kamati ya Afya katika bunge la Kitaifa kutaka bima ya afya ya Kitaifa NHIF kulipa Hospitali ya St […]
-
VIONGOZI WA DINI BUNGOMA WASHUTUMU VISA VYA UTEKAJI NYARA WA WATOTO.
Serikali imetakiwa kuchukua hatua za dharura na kukomesha visa vya utekaji nyara wa watoto na kisha kupatikana wakiwa wameuliwa.Wakiongozwa na mwenyekiti askofu Samwel Manyonyi, muungano wa wahubiri wa alliance of […]
-
‘TUPO TAYARI KUKABILI CORONA’ SERIKALI YA POKOT MAGHARIBI.
Licha ya kulaumiwa kwa kutojiandaa kukabili janga la corona, serikali ya kaunti hii ya Pokot magharibi imesema kuwa imejiandaa kikamilifu kukabiliana na maambukizi ya virusi hivyo iwapo vitaripotiwa kuongezeka kaunti […]
-
WALIMU WATAKIWA KUZINGATIA MWONGOZO WA WIZARA YA ELIMU SHULE ZIKITARAJIWA KUFUNGULIWA.
Walimu wakuu katika kaunti ya Trans nzoia wametakiwa kuzingatia mwongozo wa wizara ya elimu sawa na kushauriana na wazazi jinsi ya kulipa karo ya wanafunzi.Mwakilishi wadi ya Sirende Alfred Weswa […]
-
KENYA SEED YATOA MSAADA WA VISODO KWA AJILI YA WANAFUNZI TRANS NZOIA.
Kama njia moja ya kuhakikisha mtoto wa kike anasalia shuleni bila ya matatizo ya kukosa taulo za hedhi, Kampuni ya uzalishaji mbegu Kenya seed imetoa msaada wa laki moja kwa […]
Top News