News
-
WAFANYIBIASHARA WA SARE ZA SHULE WALALAMIKIA KUPOKONYWA BIASHARA NA WAKUU WA SHULE.
Wafanyibiashara mjini Makutano katika kaunti hii ya Pokot magharibi wameshutumu kile wamedai baadhi ya wakuu wa shule wameingilia biashara ya kuuza bidhaa shuleni hasa zile zinazotumika na wanafunzi wanaojiunga na […]
-
RAIS KENYATTA ATARAJIWA KUZINDUA MIRADI MBALI MBALI TRANS NZOIA
Rais uhuru Kenyatta ameratibiwa kuzuru eneo la magharibi ya nchi na kunti ya Trans nzoia kukagua na kuzindua miradi mbali mbali ya maendeleo.Akizungumza na wanahabari mjini Kitale mshirikishi wa utawala […]
-
BIASHARA YA WATOTO YAKITHIRI MAPAKANI PA KENYA NA UGANDA
Visa vya dhuluma dhidi ya watoto vimeongezeka maeneo kadhaa katika taifa jirani la Uganda hasa baada ya shule kufungwa kote nchini humo kufuatia kuongezeka kwa maambukizi ya virus vya corona.Akizungumza […]
-
OPARESHENI YA KUTWAA SILAHA HARAMU YAANZISHWA AMUDAT
Idadi kubwa ya bunduki zinazoingia katika wilaya ya Amudat hasa eneo la Karamoja mpakani pa kaunti hii ya pokot magharibi na taifa jirani la Uganda zinaingizwa eneo hilo kupitia mipaka […]
-
WAZAZI WALAUMIWA KWA KUKITHIRI MIMBA ZA MAPEMA
Siku chache tu baada ya shirika la AMREF kutoa takwimu zilizoashirika kuwa visa vya mimba za mapema katika kaunti hii ya Pokot magharibi zinazidi viwango vya kitaifa seneta wa kaunti […]
-
AGIZO LA KUTOSAJILI SHULE ZAIDI LASHUTUMIWA NA VIONGOZI POKOT MAGHARIBI
Hisia mseto zimeendelea kuibuliwa nchini kufuatia agizo la wizara ya elimu kwa maafisa wake kutosajili shule zaidi nchini.Mwakilishi wadi ya Batei kaunti hii ya Pokot magharibi Solomon Ang’elei amekosoa agizo […]
-
WASIMAMIZI WA VIJIJI BUNGOMA WATAKA KULIPWA MISHAHARA
Wito umetolewa kwa serikali kuangazia kuanza kuwalipa wasimamizi wa vijiji wanaosema kuwa wamefanya kazi ya kujitolea kwa miaka mingi.Wakiongozwa na mmoja wa wakuu wa vijiji hao Peter Marudi kutoka wadi […]
-
HUENDA MASAIBU YA WALIMU WA KNUT YAKAFIKA KIKOMO KARIBUNI.
Katibu mkuu wa chama cha walimu nchini knut tawi la kaunti ya trans nzoia George Wanjala ameelezea matumani kuwa maslahi ya walimu yatashughulikiwa hasa baada ya uhusiano bora kuanza kushuhudiwa […]
-
WAZAZI WATAKIWA KULIPA KARO YA WANAO
Baadhi ya wakuu wa shule katika kaunti hii ya pokot magharibi wametoa wito kwa wazazi kujikakamua na kulipa karo ya wanao ili kuwezesha kuendeshwa shughuli muhimu katika shule hizo licha […]
-
WALIMU WAONYWA DHIDI YA KUWAZUIA WANAFUNZI WALIOPACHIKWA MIMBA NA KUJIFUNGUA.
Walimu wakuu katika kaunti hii ya Pokot magharibi wameonywa dhidi ya kuwazuia kurejea shuleni wanafunzi waliopata mimba kipindi walichokuwa nyumbani kufuatia janga la corona na kisha kujifungua.Spika wa bunge la […]
Top News