News
-
VIONGOZI WAONYWA DHIDI YA KUWATUMIA VIJANA KUZUA VURUGU.
Siasa za uchaguzi mkuu wa mwaka ujao zikiendelea kushika kasi, wito umetolewa kwa viongozi wa siasa nchini kutowatumia vijana kuwashambulia wapinzani wao na kuzua vurugu katika mikutano mbali mbali ya […]
-
WAKAZI WATAKIWA KUJITOKEZA KWA WINGI KUJISAJILI KUWA WAPIGA KURA.
Shughuli ya usajili wa wapiga kura inapoendelea, viongozi katika kaunti hii ya pokot magharibi wameendelea kutoa mwito kwa wakazi kujitokeza kwa wingi kujisajili kuwa wapiga kura katika uchaguzi mkuu wa […]
-
IDARA YA USAJILI WA WATU YATAKIWA KUHARAKISHA UTOAJI VITAMBULISHO KWA WAKAZI TRANS NZOIA.
Viongozi wa kisiasa nchini wameendelea kushinikiza kuharakishwa utoaji wa vitambulisho kwa wenyeji hasa waliotimu umri wa kujisajili kuwa wapiga kura.Wakiongozwa na mbunge wa kwanza kaunti ya Trans nzoia Ferdnand wanyonyi […]
-
KASHEUSHEU ATETEA HATUA YAKE YA KUHAMA KANU NA KUJIUNGA NA UDA.
Mwakilishi wadi maalum kaunti hii ya Pokot magharibi Elijah Kasheusheu ametetea vikali hatua yake ya kughura chama cha KANU na kujiunga na chama cha UDA ambacho kinaongozwa na naibu rais […]
-
GAVANA LONYANGAPUO NA MBUNGE MOROTO WAHIMIZWA KUELEWANA KUHUSU MIRADI WATAKAYOTEKELEZA ILI KUZUIA KUKINZANA ENEO BUNGE LA KAPENGURIA.
Gavana wa kaunti hii ya Pokot magharibi John Lonyangapuo na mbunge wa Kapenguria Samwel Moroto wametakiwa kuketi chini na kuelewana kuhusu barabara watakazojenga katika eneo bunge hili ili kuzuia hali […]
-
WAKAZI POKOT MAGHARIBI WATAKIWA KUKUMBATIA TAMADUNI ZA KUNUFAISHA JAMII.
Katibu katika wizara ya michezo, utamaduni na toradhi za kitaifa Simon Kachapin ametoa wito kwa wakazi wa kaunti hii ya Pokot magharibi kukumbatia na kudumisha mila na tamaduni zao na […]
-
WADAU WA ELIMU WATAKIWA KUWEKA MIKAKATI YA KUIMARISHA ELIMU POKOT MAGHARIBI.
Mbunge wa Kapenguria kaunti hii ya Pokot magharibi Samwel Moroto ametoa wito kwa wadau wa elimu kaunti hii kuweka mikakati mwafaka itakayohakikisha sekta ya elimu inaimarika zaidi.Moroto amesema matokeo duni […]
-
WENYEJI WA KACHELIBA WAHIMIZWA KUJITOKEZA KUSAJILI KAMA WAPIGA KURA
Mwenyekiti wa Chama cha ODM katika Eneo bunge la Kacheliba kaunti hii ya Pokot magharibi Samuel Lourien amewarai wakazi wa Kaunti ya Pokot Magharibi kufika katika ofisi za chama hicho […]
-
WENYEJI WANAOISHI MIPAKANI WAHIMIZWA KULETA MAENDELEO ENEO LA SUGUTA BAADA YA AMANI KUREJEA
Naibu kamishina wa Turkana mashariki katika kaunti ya Turkana Said shaaban ametoa wito kwa serikali za kaunti hii ya Pokot magharibi, Turkana na Baringo kuweka mikakati ya kuleta miradi ya […]
-
HISIA ZA IBULIWA KUHUSIANA NA CHAMA KIPYA POKOT
Uanzilishi wa Chama cha Kenya Union Party KUP katika Kaunti hii ya Pokot Magharibi umeibua hisia mbalimbali miongoni mwa wakazi wa kaunti hii.Kulingana na Mzee Gabriel Lonyiko mkazi wa Kacheliba, […]
Top News










