News
-
KAMATI ZA KUSIMAMIA MIRADI ZATAKIWA KUIMARISHA HUDUMA BAADA YA KUSAMBAZWA FEDHA ZA CDF KACHELIBA.
Kamati ya hazina ya maendeleo ya maeneo bunge CDF eneo bunge la Kacheliba katika kaunti hii ya Pokot magharibi imesema kuwa imesambaza fedha zote kwa akaunti za kamati zinazosimamia miradi […]
-
MARUFUKU YA SIASA MAKANISANI YAENDELEA KUIBUA HISIA.
Hisia mseto zimeendelea kuibuliwa nchini kufuatia hatua ya baadhi ya makanisa kupiga marufuku viongozi wa siasa kupeleka siasa katika maabadi.Baadhi ya wakazi wa kaunti hii ya Pokot magharibi wameunga mkono […]
-
WAGONJWA KATIKA HOSPITALI YA LEVEL MJINI KITALE KUNUFAIKA NA MSAADA WA CHAKULA.
Zaidi ya wagonjwa 7,500 katika Hospitali kuu ya level four mjini Kitale wanatarajiwa kunufaika na msaada wa chakula kutoka kwa shirika la Visa oshwal community mjini Kitale wa kima cha […]
-
POKOT MAGHARIBI YAKABILIWA NA HATARI YA BAA LA NJAA.
Huenda visa vya utapiamlo vikaongezeka hata zaidi katika kaunti hii ya pokot magharibi kutokana na uhaba wa chakula ambao huenda ukashuhudiwa hivi karibuni.Haya ni kulingana na afisa katika shirika la […]
-
SERIKALI YA POKOT MAGHARIBI YAPOKEZWA BIDHAA ZA KUKABILI UTAPIAMLO.
Serikali ya kaunti hii ya Pokot magharibi imepokezwa bidhaa za kukabili utapia mlo miongoni mwa watoto katika kaunti hii kutoka shirika la action against hunger kupitia mpango wa mother to […]
-
VIONGOZI TRANS NZOIA WADAI KUINGIZWA SIASA KATIKA SHUGHULI YA KUTOA VITAMBULISHO.
Viongozi kutoka Endebess Kaunti ya Trans Nzoia wamelalamikia kile wametaja kuhangaishwa vijana wanaotaka kujisajili kupata vitambulisho vya kitaifa na maafisa husika .Wakiongozwa na mbunge wa Endebess Dkt Robert Pukose viongozi […]
-
WAKAZI WA EWAN WALALAMIKIA BARABARA MBOVU POKOT KUSINI.
Wakazi wa eneo la Ewan eneo bunge la Pokot kusini kaunti hii ya Pokot magharibi wamelalamikia hali mbovu ya barabara eneo hilo wanayosema kuwa imeathiri shughuli nyingi muhimu.Wakiongozwa na Mathew […]
-
BUNGE LA POKOT MAGHARIBI LAJITETEA KUHUSU HATUA YA KUMTIMUA SPIKA.
Baadhi ya waakilishi wadi kaunti hii ya pokot magharibi hasa waliochangia hoja ya kumbandua spika wa bunge la kaunti hii Catherine Mukenyang wamevunja kimya chao kutokana na shutuma ambazo zinaelekezwa […]
-
MAHAKAMA YAWEKA ZUIO LA MUDA KUTIMULIWA MUKENYANG.
Spika wa bunge la kaunti hii ya Pokot magharibi Catherine Mukenyang amepata afueni ya muda baada ya mahakama kuu ya Eldoret kusitisha kwa muda uamuzi wa bunge hilo kumwondoa mamlakani.Jaji […]
-
VIONGOZI TRANS NZOIA WATAKIWA KUWATAFUTA WAHISANI KUIMARISHA KAUNTI KIUCHUMI.
Viongozi katika kaunti ya Trans nzoia wametakiwa kuwatafuta wahisani kuwekeza katika sekta mbali mbali kaunti hiyo kama njia moja ya kupiga jeki kilimo na uchumi wa eneo hilo badala ya […]
Top News