News
-
SPIKA WA BUNGE LA KAUNTI YA POKOT AZUILIWA KUINGIA AFISINI MWAKE NA WAWAWKILISHI WADI WA BUNGE HILO LA POKOT
Na Benson AswaniKwa mara nyingine spika wa bunge la kaunti hii ya Pokot magharibi Catherine Mukenyang amezuiwa kuingia katika bunge hilo kuongoza vikao kufuatia hatua ya bunge hilo kumbandua afisini […]
-
SERKALI YAOMBWA KUINGILIA KATI NA KUTATUA MZOZO WA ARDHI UNAOSHUHUDIWA KANYARKWAT
Na Benson AswaniFamilia moja eneo la kanyarkwat mpakani pa kaunti hii ya Pokot magharibi na Trans nzoia wanalilia haki baada ya kufurushwa kwa boma lao na maafisa wa polisi wanaoaminika […]
-
WANAFUNZI WAHIMIZWA KUDUMISHA NIDHAMU WANAPOKUWA SHULENI
Na Benson AswaniWanafunzi wanapasa kupewa fursa ya kudhihirisha uwezo wao wa uongozi kupitia fursa mbali mbali za uongozi shuleni.Akizungumza wakati wa shughuli ya uchaguzi wa viongozi mbali mbali wa wanafunzi […]
-
IDARA YA UPELELEZI YAOMBWA KUCHUNGUZA MADAI YA UFISADI TRANSNZOIA
Na Benson AswaniBaadhi ya Wakongwe Trans nzoia wanalalamikia kutolewa kwa sajili ya kupata Fedha za wazee kwa dai la kuwa wameaga dunia wakidai kuwepo ufisadi katika afisi za utoaji wa […]
-
SERIKALI IMEOMBWA KUWEKA MIKAKATI YA KUKABILI UHABA WA CHAKULA
Na Benson AswaniPana haja ya serikali kuweka mikakati kukabiliana na uhaba wa chakula vijijini na hata shuleniNi wito ambao umetolewa na mwakilishi wadi ya bratabwa reuben chepsongol ambaye anakariri kwamba […]
-
VIONGOZI ENEOBUNGE LA KACHELIBA WAMEWAHIMIZA WAKAAZI KUKUMBATIA AMANI MSIMU HUU WA SIASA.
Na Benson AswaniWakazi wa eneo la Kacheliba katika kaunti hii ya Pokot magharibi wametakiwa kuishi kwa amani na utangamano na kutokubali kugawanywa kwa misingi ya kisiasa hasa wakati huu ambapo […]
-
WAKAAZI KAUNTI YA POKOT MAGHARIBI WATAKIWA KUZINGATIA USAWA MIONGONI MWA WATOTO WA KIKE NA KIUME
Na Benson AswaniJamii katika kaunti hii ya Pokot magharibi imetakiwa kuzingatia usawa miongoni mwa watoto wa kiume na wale wa kike.Akizungumza katika hafla ya kuhamasisha umma dhidi ya dhuluma za […]
-
UONGOZI WA GAVANA LONYANGAPUO WAENDELEA KUKOSOLEWA.
Viongozi mbali mbali wa kisiasa katika kaunti hii ya Pokot magharibi wameendelea kukosoa uongozi wa gavana John Lonyangapuo kwa kile wamedai amefeli kutekeleza maswala yenye umuhimu mkubwa kwa wakazi wa […]
-
WADAU WA ELIMU WATAKIWA KUSHIRIKIANA KUFANIKISHA SEKTA YA ELIMU KIPKOMO.
Wadau katika sekta ya elimu eneo la Kipkomo kaunti hii ya Pokot magharibi wametakiwa kushirikiana katika kuhakikisha kuwa viwango vya elimu eneo hilo vinaimarika zaidi.Akizungumza baada ya kupokea fenicha za […]
-
‘RAILA HATAMBI POKOT MAGHARIBI’, WASEMA WANDANI WA RUTO.
Na Benson AswaniWandani wa naibu rais William Ruto katika kaunti hii ya Pokot magharibi wamepuuzilia mbali miito ya baadhi ya viongozi kaunti hii kwa wakazi kumuunga mkono kinara wa chama […]
Top News










