News
-
MSWADA WA MAREKEBISHO YA SHERIA ZA UCHAGUZI WAENDELEA KUIBUA HISIA NCHINI.
Viongozi mbali mbali wa kisiasa nchini wameendelea kupinga mswada wa marekebisho kuhusu sheria za uchaguzi ambao tayari umewasilishwa bungeni na kiongozi wa wengi katika bunge la kitaifa Amos Kimunya.Wa hivi […]
-
MIGAWANYIKO YAENDELEA KATIKA BARAZA LA WAZEE WA KEIYO KUHUSU KUIDHINISHWA JOSEPH BOINET KUWANIA UGAVANA ELGEYO MARAKWET.
Siku chache baada ya wazee wa jamii ya keiyo kumwidhinisha aliyekuwa inspekta mkuu wa polisi Joseph Boinet kuwania kiti cha ugavana katika kaunti ya Elgeyo marakwet, baadhi ya wazee na […]
-
ATWOLI ASUTWA BARINGO KUFUATIA KAULI YAKE KUHUSU RUTO
Baadhi ya viongozi katika kaunti ya Baringo wamemsuta katibu mkuu wa muungano wa wafanyakazi nchini COTU Francis Atwoli kutokana na kauli yake kwamba naibu rais Dkt William Ruto anaweza kujitia […]
-
SPIKA AKANA KUWEPO MIPANGO YA KUWAZUIA BAADHI YA WABUNGE KUHUDHURIA VIKAO POKOT MAGHARIBI.
Vikao vya bunge la kaunti hii ya Pokot magharibi vikitarajiwa kurejelewa hii leo spika wa bunge hilo Catherine Mukenyang amepinga madai ya kuwepo mipango ya kuwazuilia baadhi ya wabunge kuhudhuria […]
-
ANG’ELEI APUUZILIA MBALI MADAI KUWA AMEJIUNGA NA CHAMA CHA KUP.
Mwakilishi wadi ya Batei katika kaunti hii ya Pokot magharibi Solomon Ang’elei amepuuzilia mbali madai kuwa ni mwanachama wa chama cha KUP kinachoongozwa na gavana wa kaunti hii John Lonyangapuo […]
-
VIONGOZI TRANS NZOIA WAPINGA MABADILIKO KUHUSU SHERIA ZA UCHAGUZI.
Baadhi ya viongozi kutoka Kaunti ya Trans Nzoia wamepinga vikali hatua ya baadhi ya wabunge wa kitaifa kutaka kubadili sheria za usimamizi wa uchaguzi na kurejesha mfumo wa zamani wa […]
-
TRANS NZOIA YASAJILI ASILIMIA 32 YA WAPIGA KURA.
Asilimia 68 ya wapiga kura waliolengwa kusajiliwa kuwa wapiga kura wapya katika kaunti ya Trans nzoia kwenye zoezi la usajili wa wapiga kura wapya ambalo lilikamilika tarehe 6 mwezi huu […]
-
VIONGOZI WAHIMIZA AMANI KAINUK POKOT MAGHARIBI.
Viongozi katika kaunti hii ya Pokot magharibi wameendelea kuhimiza wakazi wa eneo la Kainuk mipakani pa kaunti hii ya Pokot magharibi na Turkana kukumbatia amani na kujitenga na visa vya […]
-
WAKAZI POKOT MAGHARIBI WAHIMIZWA KUKUMBATIA MTAALA WA CBC.
Wito umetolewa kwa wazazi kukumbatia mtaala mpya wa elimu CBC unaotajwa kuwa wenye manufaa makubwa kwa wanafunzi.Wakiongozwa na Albert Maindi mwalimu mkuu wa shule ya msingi ya makutano Central na […]
-
TUME YA UCHAGUZI IEBC WATAKIWA KUBATILISHA HITAJI LA VYETI VYA MASOMO KATIKA KUWANIA VITI VYA KISIASA.
Baadhi ya wagombea wa viti mbali mbali vya kisiasa katika uchaguzi mkuu wa mwezi agosti mwaka huu sasa wanaitaka tume huru ya uchaguzi na mipaka IEBC kubatilisha hitaji la vyeti […]
Top News










