News
-
WENYEJI WA LESOS TRANS NZOIA WALALAMIKIA UKOSEFU WA MAJI MIEZI MIWILI SASA.
Wenyeji wa Lesos wadi ya bidii viungani mwa mjini Kitale katika kaunti ya Trans nzoia wanalalamikia ukosefu wa maji safi kwa takriban miezi miwili sasa baada ya mwanakandarasi anayekarabati barabra […]
-
GAVANA LONYANGAPUO AWAHIMIZA WANASIASA KUKOMA KUINGIZA SIASA KATIKA MASWALA YA AFYA
Gavana wa kaunti ya pokot magharibi john lonyangapuo ameongoza zoezi la uzinduzi wa dawa zitakazotumiwa katika vituo vyote vya afya kwenye kaunti hiiKatika mazungumzo ya kipekee na idhaa hii gavana […]
-
VIONGOZI KAUNTI YA POKOT MAGHARIBI WAMEHIMIZWA KUDUMISHA AMANI MSIMU HUU WANAPOENDELEZA SIASA ZAO
Viongozi katika kaunti hii ya Pokot magharibi wameendelea kutoa wito kwa wakazi kuzingatia amani na utulivu hasa wakati huu ambapo siasa za uchaguzi mkuu ujao zimezidi kushika kasi.Wa hivi punde […]
-
MAAFISA WA POLISI WA KITUO CHA MARICH KAUNTI YA POKOT MAGHARIBI WANAWASAKA WANAUMME KUMI WALIOHUSIKA KWA KUMLAZIMISHIA MSICHANA MMOJA NDOA YA MAPEMA.
Maafisa wa polisi katika eneo la sigor kaunti hii ya pokot magharibi wanawatafta wanaumme kumi wanaosemekana kumdhulumu msichana mwenye umri wa miaka kumi na miwili aliyekataa kuolewa na mtu mzee […]
-
VIONGOZI KAUNTI YA POKOT MAGHARIBI WATAKIWA KUENDELEZA KAMPEINI ZA AMANI
Viongozi wa kisiasa katika kaunti hii ya Pokot magharibi wametakiwa kuendeleza kampeni zao kwa heshima hasa wakati huu taifa linapoelekea kwenye uchaguzi mkuu wa mwezi agosti mwaka huu.Ni wito wake […]
-
WANAFUNZI MMOJA AMENASWA AKIUFANYA MTIHANI WA KITAIFA WA KCSE AKIJIFANYA KUWA MTAHINIWA KWA NIABA YA NDUGUYE
Mtihani wa kidato cha nne ksce unaendelea leo hii kwa siku ya tatu baada ya kuanza rasimi jumatatu hii huku waziri wa elimu proff George magoha akiwaagiza wasimamizi wa mitihani […]
-
VIONGOZI WA KAUNTI HII YA POKOT MAGHARIBI WAMEHIMIZWA KUKOMA KUINGILIA MASWALA YA HOSPITALI
Gavana wa kaunti hii ya Pokot magharibi John Lonyangapuo amevunja kimya chake kufuatia shutuma ambazo zimeendelea kuelekezwa kwa serikali yake kutokana na hali inayotajwa kuwa mbaya katika hospitali ya Kapenguria.Akizungumza […]
-
UCHUNGUZI UNATARAJIWA KUFANYIKA KATIKA TAIFA JIRANI LA UGANDA NA KENYA MPAKANI MWA KAUNTI YA POKOT MAGHARIBI KUHUSIANA NA MADAI YA UFISADI.
Idara za uchunguzi katika wilaya ya Amudat mipakani pa kaunti hii ya Pokot magharibi na taifa jirani la Uganda zinatarajiwa kuendesha uchunguzi kuhusu visa kadhaa vya ufisadi.Akizungumza na wanahabari katika […]
-
MTIHANI WA KIDATO CHA NNE UMENGOA NANGA BILA TASHWISHI YEYOTE KWA MARA YA PILI KATIKA KAUNTI HII YA POKOT MAGHARIBI
Mtihani wa kitaifa wa kidato cha nne kcse unatarajiwa kuendelea hii kwa siku ya pili baada ya kuanza rasimi hapo jana.Leo hii watahiniwa wa kcse wanafanya somo la hisabati na […]
-
VIONGOZI WA KAUNTI YA POKOT MAGHARIBI WAMEWAHAKIKISHIA WAKAAZI MCHUJO HURU NA WA HAKI.
Wakazi wa kaunti hii ya Pokot magharibi wametakiwa kujitokeza kuwaunga mkono wagombea nyadhifa mbali mbali za kisiasa wakati wa mchujo wa chama cha UDA. Ni wito wake mgombea kiti cha […]
Top News










