News
-
MWANAMMKE MMOJA ATIWA NGUVUNI KWA MADAI YA KUCHOMA MWANAWE NA MJUKUU WAKE KWA KUTUMIA KIJIKO KIMOTO KAUNTI YA POKOT MAGHARIBI
Mama mmoja kutoka eneo la Kamuino kaunti hii ya Pokot magharibi anazuiliwa na maafisa wa polisi wa kituo cha Makutano baada yake kudaiwa kuwajeruhi vibaya mwanaye mmoja pamoja na mjukuu […]
-
WITO WATOLEWA KWA WANANCHI KUWACHAGUA VIJANA KWA WINGI TAREHE TISA MWEZI WA NANE KWA UONGOZI BORA
Ipo haja ya vijana nchini kuungwa mkono na watu wa matabaka yote nchini ili pia wadhihirishe uongozi wao hasa ikizingatiwa kwa kipindi kirefu uongozi wa taifa umekuwa mikononi mwa watu […]
-
SENETA WA KAUNTI YA POKOT MAGHARIBI AMETOA WITO KWA WAKAAZI WA KAUNTI YA POKOT MAGHARIBI KUWA MAKINI WANAPOPIGA KURA
Seneta wa kaunti hii ya Pokot magharibi Samwel Poghisio ametoa wito kwa makundi ya kina mama, vijana na walemavu kuwa makini katika uchaguzi mkuu wa mwezi agoti katika wadhifa wa […]
-
VIONGOZI WA CHAMA CHA ODM WAMEJITOKEZA KUUNGA MKONO KAULI YA ODINGA KUHUSU SAJILI MBADALA YA WAPIGA KURA KUTUMIKA
Mwenyekiti wa chama cha ODM katika kaunti hii ya Pokot magharibi Joseph Akaule ametetea hatua ya kinara wa muungano wa azimio la umoja one Kenya Raila Odinga kushinikiza sajili mbadala […]
-
VIONGOZI WAENDELEA KULAUMU UONGOZI WA GAVANA WA KAUNTI YA POKOT MAGHARIBI
Mwakilishi Maalum Ozil Kasheusheu ameendelea kumlaumu Gavana Lonyangapuo kwa madai ya kukawia kwa miradi mingi iliyokuwa kwenye manifesto yake.Akizungumza katika Kipindi Cha Mpigo wa Kalya Radio leo asubuhi, Ozil ametaja […]
-
MWAKILISHI WA AKINA MAMA KAUNTI YA POKOT MAGHARIBI AWATAKA WANASIASA KUFANYA SIASA KOMAVU
Wanasiasa katika kaunti hii ya Pokot magharibi wametakiwa kuenedelza siasa komavu na kujitenga na kutumia majukwaa ya kisiasa kuelekeza cheche za maneno kwa wapinzani wao.Ni wito wake mwakilishi kina mama […]
-
ALIYEKUWA MEYA WA KAUNTI YA POKOT MAGHARIBI ASHTUMU UONGOZI WA GAVANA JOHN LONYANGAPUO
Viongozi wa matabaka mbali mbali katika kaunti hii ya Pokot magharibi wameendeleza shutuma dhidi ya serikali ya gavana wa sasa John Lonyangapuo kufuatia utendakazi wake katika kipindi cha miaka mitano […]
-
VIONGOZI KAUNTI YA UASINGISHU WAHAKIKISHIA WAKAAZI WA ENEO HILO USALAMA WAKATI WA UCHAGUZI.
Gavana Jackson Mandago ametoa hakikisjo kwa wenyeji kwamba amani itaendelea kudumu kabla wakati na hata baada ya uchaguzi wa agosti tisa na hivyo akawataka kutoishi na wasiwasiAkizungumza katika eneo la […]
-
WAKAAZI WA POKOT WAHIMIZWA KUDUMISHWA AMANI WAKATI HUU NA BAADA YA UCHAGUZI.
Wito umetolewa kwa wagombea wakisiasa katika kaunti hii ya Pokot magharibi na wakazi kwa jumla kuhakikisha kuwa wanadumisha umoja na utangamano kipindi hiki taifa linapoelekea kwenye uchaguzi mkuu wa mwezi […]
-
WANAOENDESHA KAMPENI ZA USIKU WAONYWA BARINGO.
Idara ya usalama kwenye kaunti ndogo ya Eldama ravine kaunti ya baringo imewaonya viongozi wanaowania nyadhifa za kisiasa kwenye uchaguzi mkuu wa agosti 9 dhidi ya kuandaa mikutano nyakati za […]
Top News










