News
-
HOSPITALI YA RUFAA TRANS NZOIA YAFUNGULIWA RASMI.
Gavana wa Kaunti ya Trans Nzoia Patrick Khaemba amefungua rasmi hospitali kuu ya mafunzo na rufaa mjini Kitale, na kuanza kutoa huduma za afya na vipimo kwa magonjwa kama vile […]
-
RAIS ATAKIWA KUOMBA MSAMAHA KUFUATIA GHARAMA YA JUU YA MAISHA.
Kinara wa chama cha FORD Kenya Moses Wentangula amemtaka Rais Uhuru Kenyatta kuwaomba wakenya Msamaha kutokana na gharama ya juu ya maisha swala analosema limetokana na serikali kutotilia maanani maswala […]
-
HISIA KALI ZAENDELEA KUFUATIA UHABA WA UNGA WA BEI NAFUU.
Mwakilishi kina mama kaunti ya Trans nzoia Janet Nangabo amemtaka waziri wa kilimo Peter Munya kuingilia kati na kuhakikisha unga wa bei nafuu uliotangazwa na serikali unapatikana madukani ilikuhakikisha wakazi […]
-
VYAMA VYA SIASA VYATAKIWA KUZINGATIA SHERIA ZA UCHAGUZI.
Tume ya uchaguzi nchini IEBC imetoa wito kwa vyama vya kisiasa kaunti hii ya Pokot magharibi kuhakikisha kwamba vinazingatia sheria za uchaguzi kikamilifu taifa linapoelekea kwenye uchaguzi mkuu wa tarehe […]
-
NATEMBEYA AKANA KUWEPO NJAMA YA KUWAFURUSHA WAKAAZI KATIKA MASHAMBA YA KITALALE.
Aliyekuwa mshirikishi wa eneo la bonde la ufa ambaye pia anawania kiti cha ugavana kaunti ya Trans nzoia George Natembeya amejitenga na madai kwamba yuko na njama ya kuwafurusha wakazi […]
-
MHUDUMU WA BODABODA AENEZA UJUMBE WA AMANI BARINGO.
Baada ya kaunti ya baringo kuorodheshwa miongoni mwa kaunti 10 zenye uwezekano mkubwa wa kushuhudia ghasia za baada ya uchaguzi, mhudumu mmoja wa bodaboda katika kaunti hiyo amechukua jukumu la […]
-
IDARA YA POLISI POKOT MAGHARIBI YAHUSISHWA KATIKA UPANZI WA MITI.
Wito umetolewa kwa vijana katika kaunti hii ya Pokot magharibi kujitenga na maswala ya uhalifu na badala yake kujihusisha na shughuli zitakazowapelekea kupata riziki zao za kila siku.Akizungumza baada ya […]
-
MUSTAKABALI WA NPR WAENDELEA KUIBUA HISIA BONDE LA KERIO.
Hisia mbalimbali zinaendelea kutolewa kuhusiana na kauli ya Naibu wa Rais William Ruto ya kurejesha Askari wa Akiba waliofutwa kazi ikiwa ni mpango wake wa kuimarisha amani miongoni mwa jamii […]
-
MASHIRIKA YA KIJAMII YABUNI JUKWAA LA KUKABILI MIMBA ZA MAPEMA POKOT MAGHARIBI.
Visa vya mimba za mapema miongoni mwa watoto wa kike wenye umri mdogo vimeendelea kuripotiwa nchini hasa katika kaunti hii ya Pokot magharibi wengi wa watoto wa kike wakishindwa kuendelea […]
-
RAIS KENYATA ASUTWA KWA UTOVU WA MAADILI.
Mbunge wa kapenguria katika kaunti hii ya Pokot magharibi Samwel Moroto amemsuta vikali rais Uhuru Kenyatta kwa kile amesema kutoonyesha maadili yanayofaa kwa kiongozi wa hadhi yake kinyume na walivyofanya […]
Top News










