Author: Charles Adika
-
WAFUASI WA UDA POKOT MAGHARIBI WAVUNJA KIMYA CHAO KUHUSU KUTIMULIWA CALEB KOSITANY KUTOKA KWA CHAMA CHA JUBILEE
Wafuasi wa chama cha UDA kichohusishwa na naibu wa rais William Ruto katika kaunti hii ya Pokot Magharibi wametoa hisia zao kuhusiana na kutimuliwa kwa Caleb Kositany kutoka kwenye Chama […]
-
WANAFUNZI ELFU 1,070 WALIPACHIKWA MIMBA WAKATI WA LIKIZO YA CORONA KAUNTI YA POKOT MAGHARIBI
Jumla ya wanafunzi 1,070 walipachikwa mimba katika kaunti hii ya Pokot Magharibi wakati wakiwa nyumbani katika likizo ndefu iliyotokana na kufungwa shule baada ya kuripotiwa maambukizi ya virusi vya corona […]
-
RUTO ALAUMIWA KWA TOFAUTI ZINAZOSHUHUDIWA BAINA YAKE NA RAIS UHURU KENYATTA
Tofauti baina ya rais Uhuru Kenyatta na naibu wake William Ruto zikiendelea kushuhudiwa, wadau mbali mbalimbali wameendelea kulaumu upande wa naibu rais kwa mizozo baina ya wawili hao.Akizungumza na wanahabari […]
-
SIMON KACHAPIN ATEULIWA KUHUDUMU KAMA KATIBU KATIKA WIZARA YA MICHEZO NA UTAMADUNI
Katibu katika wizara ya michezo na utamaduni Simon Kachapin amempongeza rais Uhuru Kenyatta kwa kumteua kuhudumu katika wizara hiyo mpya.Kachapin ambaye awali alihudumu katika wizara ya kawi, amemhakikishia rais kuwa […]
-
SENETA POGHISIO ASHTUMU VIONGOZI WA KISIASA WANAOENDELEZA SIASA CHAFU KAUNTI HII YA POKOT MAGHARIBI
Seneta wa Kaunti hii ya Pokot Magharibi Daktari Samuel Poghisio amegadhabishwa na siasa chafu zinazoendeleshwa na baadhi ya viongozi katika kaunti hii akiwataka kukoma kuendeleza siasa za chuki na kutajataja […]
-
MBUNGE MARK LOMUNOKOL AMEITAKA SERIKALI KUCHUNGUZA MADAI YA KUKAMATWA NA KUULIWA KWA WATU SITA KATIKA ENEO LA CHEMOLINGOT KAUNTI YA BARINGO
Mbunge wa Kacheliba Mark Lomunokol ameitaka serikali kuchunguza madai ya kukamatwa na kuuliwa kwa watu sita katika eneo la Chemolingot kwenye kaunti ya Baringo, mauaji ambayo yanadaiwa kutekelezwa na maafisa […]
-
HISIA KUHUSU MSWADA WA MAREKEBISHO YA KATIBA WA 2020 ZAENDELEA KUTOLEWA NA WAKAAZI WA KAUNTI YA POKOT MAGHARIBI
Huku kamati maalum iliyobuniwa kuongoza mchakato wa kufanyia katiba marekebisho kupitia BBI ikitangaza kujiandaa kuipigia debe BBI kote nchini baada ya mabunge ya kaunti kuidhinisha mswada huo, wakaazi wa kaunti […]
-
SERKALI KUU YATARAJIWA KUKAMILISHA MIRADI ILIYOANZISHA
POKOT MAGHARIBI Seneta wa kaunti hii ya Pokot magharibi samwel poghisio ameipongeza serikali kuu kwa miradi ambayo ilianzisha kaunti hii ili kuwanufaisha wakazi.Akizungumza baada ya kukagua miradi mbali mbali, poghisio […]
-
MCHANGANUZI WA KISIASA KAUNTI YA POKOT MAGHARIBI AELEZEA MANUFAA YA BBI KWA TAIFA
Idadi ya mabunge ya kaunti hitajika katika kupitisha mswada wa marekebisho ya katiba ikiwa tayari imeafikiwa, wadau mbali mbali wameendelea kukosoa mbinu iliyotumiwa kuhakikisha waakilishi wadi wanapitisha mswada huo.Akizungumza na […]
-
AKINA MAMA KAUNTI YA POKOT MAGHARIBI KUNUFAIKA NA MRADI WA USHANGA
Serikali kuu itashirikiana na serekali ya kaunti hii ya pokot magharibi kuhakikisha kuwa kina mama ambao wanajihusisha na shughuli ya kushona na kuuza ushanga wananufaika na biashara hiyo.Akizungumza wakati wa […]
Top News