Author: Charles Adika
-
GALA LA SPOTI
Ungana naye Titus Tanui katika gala la spoti hakikuletea mechi baina ya Leeds na Chelsea
-
-
CHEMAKUTING’U
A Pokot talk show that discuss the political, economical and social affairs of the Pokot community with equality, integrity and respect. Host by Paul Krop Wero Ngoriareng’
-
-
KINARA WA CHAMA CHA ODM RAILA ODINGA ATHIBITISHWA KUAMBUKIZWA VIRUSI VYA CORONA
Kinara wa chama cha ODM Raila Odinga amedhibitishwa kuambukizwa virusi vya corona siku 3 tu baada ya kulazwa katika hospitali ya Nairobi.Kulingana na daktari wake Odinga, David Oluoch Olunya ni […]
-
ASILIMIA 76 YA WANAUME KAUNTI YA TRANS NZOIA WAMEAMBUKIZWA VIRUSI VYA CORONA
Asilimia 76 ya wanaume kwenye kaunti ya Trans Nzoia wamethibitishwa kuambukizwa virusi vya corona.Hii inadaiwa ni kutokana na sekta ya uchukuzi kuwa kizingiti kikubwa kwenye kukabili maambukizi ya virusi hivyo.Waziri […]
-
HAKI ZA BINADAMU ZAKIUKWA ENEO LA TIATY KAUNTI YA BARINGO
Viongozi kutoka kaunti hii ya Pokot Magharibi wamelalamikia ukiukaji wa haki za binadamu kutokana na oparesheni kali ya polisi inayoendelea katika juhudi za kuimarisha usalama eneo la Tiaty kaunti ya […]
-
-
WAHUDUMU WA AFYA KAUNTI HII YA POKOT MAGHARIBI WAPOKEA CHANJO DHIDI YA VIRUSI VYA CORONA
Wahudumu wa afya kwenye kaunti hii ya Pokot Magharibi leo hii wamepokea kupokea chanjo ya virusi vya corona.Waziri wa afya kaunti hii Jackson Yaralima na maafisa wengine serikalini wamekuwa wa […]
-
Top News