Author: Charles Adika
-
‘MIKAKATI ZAIDI YAHITAJIKA KUWAREJESHA WATOTO SHULENI’, YASEMA KNEC
Na Benson AswaniSiku moja baada ya idara ya usalama kwa ushirikiano na wadau wengine kaunti hii ya Pokot magharibi kutangaza kuanza oparesheni ya kuhakikisha watoto wote katika kaunti hii wanarejeshwa […]
-
TRANS NZOIA YAPIGWA JEKI KATIKA UHIFADHI WA MSITU WA MLIMA ELGON
Na Benson AswaniKaunti ya Trans-Nzoia ni miongoni mwa Kaunti zinazotazamia ufadhili wa shilingi Dola Milioni 6 ya utunzaji wa msitu wa Mlima elgon kupitia wa ufadhili wa ushirkia wa maendeleo […]
-
-
-
OPARESHENI YA KUWAPELEKA WATOTO SHULENI YAANZISHWA POKOT MAGHARIBI.
Na Benson AswaniIdara ya usalama katika kaunti hii ya Pokot magharibi kwa ushirikiano na idara ya elimu miongoni mwa wadau wengine imeanzisha oparesheni ya kuhakikisha kuwa wanafunzi wote ambao hawajarejea […]
-
WAKAZI WA LOKIRIMO POKOT MAGHARIBI WATAKA KUPEWA MBINU ZA KUJIKIMU KIMAISHA.
Na Benson AswaniWakazi wa Lokirimo eneo la Kongelai kaunti hii ya Pokot magharibi wametoa wito kwa viongozi kuwatafutia mbinu za kutafuta riziki hasa baada ya kupigwa marufuku ugemaji wa pombe.Wakazi […]
-
IDARA YA AFYA TRANS NZOIA YALENGA KUIMARISHA UTOAJI CHANJO YA COVID 19.
Na Benson AswaniIdara ya afya Kaunti ya Trans-Nzoia imeandaa mikutano na washikadau kutoka sekta mbalimbali kama njia moja ya kuimarisha kampeni ya utoaji wa chanjo dhidi ya covid 19 ili […]
-
MACHIFU TRANS NZOIA WAANZISHA OPARESHENI YA KUWASAKA VIJANA AMBAO HAWAJACHUKUA VITAMBULISHO.
Na Benson AswaniIkiwa zimesalia siku 9 kabla ya kutamatika zoezi la kuwasajili wapiga kura machifu na manaibu wao katika kaunti ya Trans nzoia wameendeleza harakati za kuwasaka wale ambao hawajachukua […]
-
Top News








