Author: Charles Adika
-
UNYANYAPAA WATAJWA KUWA KIZINGITI CHA HAKI KWA WAATHIRIWA WA HIV WALIODHULUMIWA KINGONO.
Wataalam wa afya, maafisa wa polisi pamoja na wale wa idara ya mahakama wametaja unyanyapaa na ubaguzi wa watu walioambukizwa virusi vya HIV kuwa kizingiti kikuu cha kupata haki kwa […]
-
OKA YATAKIWA KUTENGENEZA MUUNGANO NA RAILA ODINGA.
Na Benson AswaniSeneta wa kaunti hii ya Pokot magharibi Samwel Poghisio ametoa wito kwa viongozi wa muungano wa one Kenya alliance OKA kusalia pamoja uchaguzi mkuu wa mwaka ujao ukiendelea […]
-
USAJILI WA MAKURUTU WA KDF WAINGIA LEO SIKU YA PILI.
Na Benson AswaniUsajili wa makurutu wa jeshi la Kenya KDF umeingia leo siku ya pili vijana waliotimiza mahitaji katika kaunti 21 wakidaiwa kujitokeza katika vituo mbali mbali ili kutathminiwa.Kulingana na […]
-
RAIS ATAKIWA KUANGAZIA UPYA BEI YA ZAO LA MAHINDI.
Na Benson AswaniMbunge wa Endebess Dkt Robert Pukose amelalamikia bei duni ya zao la mahindi katika kanda ya Northrift akimtaka Rais Uhuru Kenyatta kungilia kati na kuhakikisha wakulima wanapoendelea na […]
-
WAGONJWA WA KISUKARI TRANS NZOIA WATAKIWA KUJITOKEZA KUPATA MATIBABU.
Na Benson AswaniKaunti ya Trans nzoia imerekodi idadi ya watu alfu nne wanaougua ugonjwa kisukari huku wito ukitolewa Kwa wakazi wanaougua ugonjwa huo kutembelea vituo vya afya ili kupata matibabu.Kwa […]
Top News








