Author: Charles Adika
-
MIITO YA SIASA ZA AMANI YAENDELEA KUTOLEWA NA VIONGOZI WA KIDINI.
Na Benson AswaniViongozi wa kidini katika kaunti hii ya Pokot magharibi wametoa wito kwa wanasiasa nchini kuendeleza siasa za amani wakati huu ambapo taifa linajiandaa kwa ajili ya uchaguzi mkuu […]
-
WAKULIMA TRANS NZOIA WAPONGEZA UTEUZI WA MKURUGENZI MPYA WA KAMPUNI YA KENYA SEED.
Na Benson AswaniWakulima kutoka Kaunti ya Trans Nzoia wamepongeza uteuzi wa mkurugenzi mkuu wa Kampuni ya mbegu nchini Kenya Seed Fred Oloibei uteuzi uliofanyika juma lililopita na waziri wa kilimo […]
-
SERIKALI YA TRANS NZOIA YAANZISHA MPANGO WA KUWACHANJA WATOTO.
Na Benson AswaniZaidi ya 80% ya watoto katika Kaunti ya Trans-Nzoia walikosa kupokea chanjo zao za mwaka wa 2020 kutokana na kuzuka kwa janga la Covid 19 miongoni mwa vigezo […]
-
-
SERIKALI YA POKOT MAGHARIBI YAAPA KUIMARISHA ZAIDI KILIMO CHA MIFUGO.
Na Moses Ruto Serikali ya kaunti hii ya Pokot magharibi imejitolea kuhakikisha kuwa inaimarisha kilimo hasa cha ufugaji ikiwa ndio tegemeo kubwa kwa wakazi wengi wa kaunti hii kuhakikisha kila […]
-
KACHAPIN ADAI VYAMA VINATUMIKA KUPORA MALI YA UMMA.
Na Benson Aswani Aliyekuwa gavana wa kaunti hii ya Pokot magharibi Simon Kachapin amekosoa vikali hatua ya kubuniwa vyama vingi nchini anavyovitaja kuwa vya kikabila.Akirejelea chama kipya cha KUP kilichizinduliwa […]
-
IDADI YA WANAFUNZI WANAOHUDHURIA MASOMO YAPUNGUA CHERANG’AN POKOT MAGHARIBI.
Na Dismas Terer. Idadi ya wanafunzi wanaohudhuria masomo hasa katika shule za msingi eneo la cherang’an katika wadi ya Kodich kaunti hii ya Pokot magharibi imepungua pakubwa kutokana na kukithiri […]
Top News









