Author: Charles Adika
-
VIONGOZI POKOT MAGHARIBI WAPUUZA KUZINDULIWA CHAMA CHA KUP.
Na Benson AswaniViongozi mbali mbali katika kaunti hii ya Pokot magharibi wameendelea kupuuza hatua ya kuzinduliwa chama kipya katika kaunti hii.Wa hivi punde kutolea hisia hatua hiyo ni seneta wa […]
-
KACHAPIN AKOSOA HATUA YA WATUMISHI WA UMMA KUJIHUSISHA NA SIASA.
Na Benson AswaniAliyekuwa gavana wa kaunti hii ya Pokot magharibi Simon Kachapin ametofautiana na misimamo ya baadhi ya maafisa serikalini ambao tayari wametangaza misimamo yao ya kisiasa katika uchaguzi mkuu […]
-
VIONGOZI WAKOSOA KUVURUGWA MIKUTANO YA RUTO.
Na Benson AswaniViongozi wa kisiasa nchini wanazidi kutoa hisia zao kutokana na kuvurugwa mikutano ya naibu rais William Ruto katika baadhi ya maeneo ambako amezuru nchini kisa cha hivi punde […]
-
WAKAZI WATAKIWA KUHAKIKISHA WANAO WANAPATA CHANJO TRANS NZOIA.
Na Benson AswaniWito umeendelea kutolewa kwa umma kuwapeleka wanao kupata chanjo katika Hospitali zote za Umma Kaunti ya Trans-Nzoia kwani imebanika idadi ndogo ya wazazi wanajitokeza kuwapeleka wanao kupata chanjo […]
-
-
-
Top News







