Author: Charles Adika
-
-
WAFANYIBIASHARA WALALAMIKIA UCHAFU KATIKA SOKO LA KONGELAI.
Na Benson AswaniWafanyibiashara katika soko la Kongelai katika kaunti hii ya Pokot magharibi wamelalamikia uchafu katika soko hilo hali wanayodai huenda imesababishwa na mishahara duni wanayolipwa wanaoendeleza usafi katika soko […]
-
BAADHI YA VITUO VYA POLISI KUHAMISHWA TIATI, BARINGO.
Na Benson AswaniSerikali itahamisha baadhi ya vituo vya polisi katika eneo bunge la Tiati kaunti ya Baringo kama mojawapo ya hatua za kukabiliana na visa vya uhalifu eneo hilo.Mshirikishi wa […]
-
WAFANYIBISHARA BUNGOMA WALALAMIKIA KUTOPATA FEDHA ZILIZOTOLEWA NA NAIBU RAIS.
Na Benson AswaniViongozi wa wafanyibiashara katika soko la Chepkube mjini Bungoma wanadai maisha yao yamo hatarini baada ya wenzao kuwashuku kuwa huenda wanafahamu zilipo pesa ambazo naibu rais William Ruto […]
-
WAKAZI WA KABUCHAI WATAKIWA KUTUNZA MIRADI.
Na Benson AswaniWito umetolewa kwa wakazi wa Mukuyuni eneo bunge la Kabuchai kaunti ya Bungoma kutunza vyema miradi ya serikali ambayo inafadhiliwa kupitia ushuru wao ili kuondolea serikali gharama ya […]
-
-
-
-
WAKAZI POKOT MAGHARIBI WATAKIWA KUWA MAKINI NA VYAMA WANAVYOUNGA MKONO.
Na Benson AswaniBaadhi ya viongozi katika kaunti hii ya Pokot magharibi wameendelea kusisitiza haja ya wakazi wa kaunti hii kuunga mkono vyama vya kitaifa ambavyo vitahakikisha wanakuwa serikalini na pia […]
Top News









