Author: Charles Adika
-
WANAHARAKATI POKOT MAGHARIBI WAPINGA MAFUNZO KWA WALIMU KUHUSU CORONA.
Na Benson AswaniShughuli ya kuwafunza baadhi ya walimu kutoka shule mbali mbali kuhusu jinsi ya kukabiliana na visa vya maambukizi ya corona shuleni iwapo vitaripotiwa, inayoongozwa na shirika la CY […]
-
WAKULIMA TRANS NZOIA WATAKIWA KUKUMBATIA MPANGO WA WAREHOUSE RECEIPT SYSTEM.
Na Benson AswaniWito umetolewa kwa wakulima Kaunti ya Trans Nzoia Kukumbatia Mpango wa serikali wa kuhifadhi nafaka katika maghala bodi ya nafaka na mazao nchini NCPB chini ya mpango wa […]
-
UGEMAJI POMBE WAIBUA WASIWASI KUHUSU HATIMA YA VIJANA BARINGO KASKAZINI.
Na Benson AswaniWasomi katika eneo bunge la Baringo kaskazini kwenye kaunti ya Baringo sasa wanawataka maafisa wa usalama kuanzisha msako mkali wa kuwakabili wagemaji na wauzaji wa pombe haramu.Wakiongizwa na […]
-
-
-
-
SHIRIKA LA CY KENYA LAENDELEZA MAFUNZO SHULENI KUHUSU COVID 19.
Na Benson AswaniShirika la CY Kenya kwa ushirikiano na wizara ya elimu linaendeleza mafunzo katika shule mbali mbali katika kaunti hii ya Pokot Magharibi ya jinsi ya kukabiliana na visa […]
-
WADAU WA ELIMU POKOT MAGHARIBI WAKASHIFU VISA VYA KUTEKETEZWA MAJENGO YA SHULE.
Na Benson AswaniWadau katika sekta ya elimu katika kaunti hii ya Pokot magharibi wamelaani vikali utovu wa nidhamu miongoni mwa wanafunzi kufuatia visa vya kuteketezwa majengo ya shule ambavyo vimeendelea […]
-
WAZAZI WALAUMIWA KWA UTOVU WA NIDHAMU MIONGONI MWA WANAFUNZI.
Na Benson AswaniHuku visa vya wanafunzi kuchoma shule vikizidi kushuhudiwa kote nchini viongozi wa kidini wamelaumu wazazi kutowapa wanao ushauri nasaha na mwongozo bora katika maisha mbali na kutohudhuria mafunzo […]
-
SHINIKIZO ZATOLEWA KWA MAGOHA KUJIUZULU.
Na Benson AswaniKufuatia ongezeko la visa vya mikasa ya moto shuleni mwakilishi wadi ya Bartabwa katika kaunti ya Baringo Ruben Chepsongol sasa anamtaka waziri wa elimu Prof George Magoha kujiuzulu […]
Top News









