News
-
MAGAVANA WAPYA WANZA RASMI KUTEKELEZA MAJUKUMU YAO.
Siku chache tu baada ya magavana 45 kula kiapo na kuahidi kufanyia wananchi kazi sasa magavana hao wameanza rasmi majukumu yao.Ikiwa ni siku ya kwanza kuingia ofisini tangu kuchaguliwa kwake […]
-
MRADI WA UNYUNYIZIAJI MAJI MASHAMBA WA PARASANY WAKAMILIKA.
Shirika la SEFA limekabidhi rasmi mradi wa unyunyiziaji maji mashamba wa parasanyi ambao umetelezwa chini ya mpango wa ustahimilivu kwa usimamizi wa serikali ya kaunti hii. Akizungumza katika hafla ya […]
-
VIJANA WAHIMIZWA KUKUMBATIA KOZI ZA UHANDISI.
Wito umetolewa kwa vijana wa kike kujitokeza kwa wingi na kusomea kozi za uhandisi na kupuuzilia mbali dhana ya kuwa baadhi ya taaluma na kazi ni za vijana wa kiume […]
-
KUP CHAIKARANGA UDA POKOT KUSINI NA KACHELIBA.
Hatimaye David Pkosing amehifadhi kiti chake katika Eneo bunge la Pokot Kusini kaunti hii ya Pokot magharibi baada ya kumpiku mpinzani wake wa Chama Cha UDA Simon Kalekem kwa kura […]
-
RAILA AENDELEA KUSUTWA KWA KUWASILISHA KESI YA KUPINGA USHINDI WA RUTO.
Baadhi ya viongozi wa kisiasa katika kaunti hii ya Pokot magharibi hasa wanaoegemea mrengo wa rais mteule William Ruto wameendelea kumsuta kinara wa chama cha muungano wa azimio la umoja […]
-
CHAGUZI ZILIZOAHIRISHWA MENEO MBALI MBALI NCHINI HATIMAYE ZAANDALIWA LEO.
Baada ya subira ya muda sasa wakazi wa eneo bunge la pokot kusini na kacheliba katika kaunti hii ya Pokot magharibi wanaungana na wakazi wa maeneo mengine nchini ambako chaguzi […]
-
HISIA ZA ENDELEA KUTOLEWA BAADA YA KUAPISHWA KWA GAVANA SIMON KACHAPIN KAUNTI YA POKOT MAGHARIBI
Viongozi mbali mbali wa kaunti hii ya Pokot magharibi wameendelea kupongeza kuapishwa rasmi gavana wa kaunti hii Simon Kachapin kuanza tena kuhudumu kama gavana wa kaunti hii.Wakiongozwa na mbunge wa […]
-
VIONGOZI WA KENYA KWANZA WAENDELEZA KAMPEINI KATIKA MAENEOBUNGE YA POKOT KUSINI NA KACHELIBA KAUNTI YA POKOT
Viongozi mbalimbali wa Muungano wa Kenya Kwanza wakiongozwa na Naibu Rais Mteule Rigathi Gachagua wanatarajiwa kuzuru Kaunti ya Pokot Magharibi leo hii siku mbili kabla ya uchaguzi uliohairishwa ambao utafanyika […]
-
MIKAKATI YA KUANDAA CHAGUZI ZILIZOAHIRISHWA YAKAMILIKA.
Baadhi ya wagombea nyadhifa za uongozi katika maeneo ambako uchaguzi mkuu uliahirishwa wameelezea kuridhia tarehe mpya ya uchaguzi huo iliyotangazwa na tume ya uchaguzi IEBC.Mwenyekiti wafula chebukati alisema tume hiyo […]
-
SHUGHULI ZA MASOMO KUATHIRIKA TENA KATIKA SHULE ZITAKAZOTUMIKA KAMA VITUO VYA KUPIGIA KURA.
Shule za kutwa kwenye maeneo ambako kutafanyika uchaguzi jumatatu wiki ijayo zitafungwa kwa siku moja ili kupisha shughuli hiyo muhimu.Akitangaza hayo waziri wa elimu prof. George Magoha alisema wanafunzi kwenye […]
Top News










