News
-
CBC YAENDELEA KUWAKANGANYA WADAU WA ELIMU.
Hisia mseto zimeendelea kuibuliwa miongoni mwa wadau katika sekta ya elimu kuhusu utekelezwaji wa mtaala mpya wa elimu CBC wakati rais William Ruto akiahidi kubuni kamati ya kutafuta maoni kuhusu […]
-
WAKAAZI WANAMTAKA RAIS WILIAM RUTO KUTEKELEZA YALE ALIYOAHIDI
Wakaazi kutoka kaunti ya Trans nzoia wameendelea kusherehekea kuapishwa kwa Rais Wiliam Ruto wakimuomba kushughulikia changamoto zinazokumba haswa kupanda kwa Gharama ya Maisha.Wakaazi hao wameendeleza sherehe zao wakifurahia haswa baada […]
-
WAZAZI WAUNGA MKONO HATUA YA KUFANYIWA UKAGUZA MTAALA WA UMILISI CBC
Chama cha kitaifa cha Wazazi katika kaunti ya Transnzoia kimeunga mkono mpango wa Rais Wiliam Ruto kuwashirikisha washikadau katika sekta ya Elimu kutathmini upya mtalaa wa umilisi cbc.Mwenyekiti wa chama […]
-
WAKAZI POKOT MAGHARIBI WAHIMIZWA KUENDELEA KUJITOKEZA KUPOKEA CHANJO DHIDI YA CORONA.
Serikali ya kaunti ya Pokot Magharibi kupitia wizara ya Afya, idara ya chanjo na maambukizi iliandaa warsha ya siku moja na washikadau mbali mbali kubuni njia na mikakati ya kuwarai […]
-
WADAU WATAKIWA KUWASHAURI VIJANA DHIDI YA MATUMIZI YA MIHADARATI
Wito umetolewa kwa viongozi katika jamii hasa wale wa kidini kuchukua jukumu la kuwashauri vijana kama njia moja ya kukabili maovu yanayotokea hasaa visa vya mauaji au uhalifu kila kukicha.Akizungumza […]
-
UKEKETAJI WA WASALIA KIZUNGUMKUTI POKOT MAGHARIBI.
Visa vya ukeketaji vimesalia changamoto kuu katika kaunti nyingi za wafugaji hali ambayo mashirika ya haki za wanawake yametaja kuwa inatokana na ukosefu wa elimu miongoni mwa wakazi wengi wa […]
-
GAVANA KACHAPIN AKAGUA KIWANDA CHA KUCHINJA MIFUGO CHA NASUKUTA ENEO LA POKOT KUSINI
Gavana wa kaunti hii ya Pokot magharibi Simon Kachapin amewahakikishia wakazi wa kaunti hii kwamba kiwanda cha nyama cha Nasukuta kitaanza rasmi kuhudumu mapema mwaka ujao.Akizungumza baada kuzuru kiwanda hicho […]
-
MOSES WETANGULA ATEULIWA KUWA SPIKA WA BUNGE LA KITAIFA
Aliyekuwa seneta wa kaunti ya Bungoma Moses Wetangula sasa ndiye spika wa bunge la kitaifa.Wetangula alitangazwa mshindi baada ya duru ya pili ya uchaguzi kukosa kufanyika kufuatia hatua ya Kenneth […]
-
KINYANG’ANYIRO CHA USPIKA CHASHIKA KASI POKOT MAGHARIBI
Kinyang’anyiro cha kumtafuta spika wa bunge la kaunti hii ya Pokot magharibi kimeshika kasi huku wagombea 8 wakionyesha nia ya kuwania wadhifa huo.Miongoni mwa waliotangaza kuwania kiti hicho ni wakili […]
-
TODOSIA AAPA KUAFIKIA MATAKWA YA WANANCHI PUNDE BAADA YA KUAPISHWA.
Mwakilishi wadi mteule wa mnagei katika kaunti hii ya Pokot magharibi Richard Todosia amewapongeza wakenya kuwa kuendelea kudumisha amani kipindi chote cha uchaguzi hadi pale mahakama ya juu ilipodumisha ushindi […]
Top News










