News
-
MGOMO WA MADAKTARI WAINGIA SIKU YAKE YA SITA
POKOT MAGHARIBI Mgomo wa madaktari katika kaunti ya Pokot Magharibi ambao uling’oa nanga siku ya ijumaa wiki iliyopita umeingia siku ya sita.Waziri wa afya kaunty ya Pokot Magharibi Jackson Yaralima […]
-
SOKO LA KISASA KUJENGWA ENEO BUNGE LA SABOTI
TRANS NZOIA Wenyeji wa wadi Tuwani eneo bunge la Saboti kaunti ya Trans-Nzoia wanatazamia kufaidi kupitia kwa ujenzi wa soko la kisasa kwa ushirikiano wa serikali kuu na serikali ya […]
-
WASHIKA DAU KATIKA WIZARA YA MIPANGILIO YA SERIKALI WAZURU KAUNTI YA POKOT MAGHARIBI
Washikadau katika wizara ya mipangilio ya serikali hiyo jana wamezuru kaunti ya Pokot Magharibi kwa lengo la kuangazia na kuweka wazi ripoti inayohusu maswala ya kiuchumi, democrasia, maendeleo ya jamii […]
-
VISA VYA MIMBA ZA MAPEMA VYAKITHIRI KAUNTI YA POKOT MAGHARIBI
Visa vya mimba za mapema miongoni mwa wasichana katika kaunti ya Pokot Magharibi vinazidi kuongezeka kila kuchao huku mashirika mbalimbali yakiingilia kati suala hilo zima katika kuwahimiza wazazi kukaa karibu […]
-
SHILINGI MIA SITA YASABABISHA MUME KUMUA MKEWE
KAKAMEGA Mwanamme mwenye umri wa miaka 60 anazuiliwa na maafisa wa polisi katika eneo bunge la Shinyalu kwenye kaunti ya Kakamega kwa tuhuma za kumuua mkewe mwenye umri wa miaka […]
-
Maimamu wapinga hatua ya mkuu wa DCI George Kinoti
Baraza la maimamu katika kaunti ya Uasin Gishu limeeleza kusikitishwa na hatua anayotaka kuchukua kiongozi wa idara ya upelelezi DCI George Kinoti kuchunguza kesi za ghasia za baada ya uchaguzi […]
-
WITO WA MBUNGE WA MUMIAS MASHARIKI BENJAMIN WASHIALI
MUMIAS MASHARIKI Huku idadi kubwa ya wakenya wakiwemo wahudumu wa afya wakiendelea kuripotiwa kufariki kutokana na ugonjwa wa corona mbunge wa Mumias Mashariki Benjamin Washiali amewataka wenyeji wa eneo hilo […]
-
UKOSEFU WA CHANJO MIONGONI MWA WATOTO
TRANS NZOIA Ukosefu wa taarifu muhimu kuhusu chanjo, dhana potovu, uwoga wa kutafuta huduma hosipitalini kutokana na janga la corona na baadhi ya vituo vya afya kutumika kama vituo vya […]
-
UPOTOVU WA MAADILI MIONGONI MWA VIJANA
BUNGOMA Shutuma zinaendelea kutolewa kwa kisa ambapo vijana ishirini na mmoja walipatikana katika mkahawa mmoja mjini webuye wakijiburudisha kwa vileo licha ya kuwa na umri mdogo.Viongozi wa hivi punde ni […]
-
CHAMA CHA KNUT KAKAMEGA CHA SHUTUMU WIZARA YA ELIMU KWA UFUNGUZI WA SHULE MWAKA UJAO
KAKAMEGA Chama cha kitaifa cha walimu KNUT tawi la Kakamega kimeelezea kutoridhishwa na matayarisho ya kufungua shule mwakani kikihofia uwezekano wa ongezeko la maambukizi ya virusi vya corona.Katika taarifa kwa […]
Top News










