News
-
MWANAMME AIAGA DUNIA BAADA YA KUDUNGWA KISU MARA KADHAA BAADA YA KUTOFAUTIANA NA MWENZAKE KWA SABABU YA SALAMU
Mwanamme mmoja mkaazi wa kijiji cha Kapkonga kwenye eneobunge la Keiyo Kusini katika kaunti ya Elgeyo Marakwet ameuliwa kwa kudungwa kisu mara kadhaa baada ya kutofatiana vikali na mwezake kuhusu […]
-
HOSPITALI YA RUFAA YA LODWAR HAINA VIFAA VYA KUTOSHA VYA KUWASHUGHULIKIA WAGONJWA
Baadhi ya viongozi kwenye kaunti ya Turkana wamekashfu vikali utepetevu katika hospitali ya rufaa ya Lodwar wakisema hospitali hiyo haina vifaa vya kutosha kuwahudumia wagonjwa mahututi.Hali hiyo imewalazimu wagonjwa kupelekwa […]
-
KISA CHA WABUNGE SIMBA ARATI NA SILVANUS OSORO KURUSHIANA MAKONDE CHA ENDELEA KUSHTUMIWA VIKALI
Wafuasi wa naibu wa rais Wiliam Ruto na kinara wa chama cha ODM Raila Odinga walioko kwenye kaunti ya Pokot Magharibi wamekishutumu vikali kisa cha kukabiliana kwa makonde kwa mbunge […]
-
FAMILIA BUSIA YALILIA HAKI BAADA YA MAHAKAMA KUWANYIMA HAKI
Familia moja kule Nambale kaunti ya Busia inalilia haki baada ya kesi dhidi ya maafisa wa polisi ambao wanadaiwa kuwadhulumu zaidi ya miezi 10 iliyopita kutupiliwa mbali.Familia hiyo ya mzee […]
-
ZAIDI YA WATAHINIWA MILIONI MOJA HAWAWEZI KUAFIKIA ASILIMIA 50 YA ALAMA STAHIKI KWENYE BAADHI YA MASOMO
Baraza la Mitihani nchini KNEC imesema kuwa zaidi ya watahiniwa milioni 1 wa KCPE mwaka huu hawawezi kuafikia asilimia 50 ya alama stahiki katika masomo mbali mbali.Baraza hilo liliandaa ripoti […]
-
OPARESHENI NAYOTEKELEZWA KAPEDO IMESHTUMIWA VIKALI NA MUUNGANO WA WACHUNGAJI POKOT MAGHARIBI
Muungano wa wachungaji katika kaunti ya Pokot Magharibi wamekashifu oparesheni inayoendelea katika eneo la Kapedo kwa zaidi ya wiki mbili sasa.Wakiongozwa na Ronald Chumum, wamesema kuwa hawana pingamizi na oparesheni […]
-
RAIS KENYATTA ASHAURIWA KUKAMILISHA MIRADI ALIYOAHIDI KATIKA KAUNTI YA BUSIA
Siku chache tu baada ya rais Uhuru Kenyatta kukutana na wabunge wa Mlima Kenya baadhi ya viongozi wa eneo la magharibi sasa wanamtaka Rais Uhuru Kenyatta kuanzisha ama kukamilisha miradi […]
-
MWANAMME MMOJA KAUNTI HII YA POKOT MAGHARIBI AUAWA KWA KUDUNGWA KISU NA WATU WASIOJULIKANA
Maafisa wa polisi wanaendeleza msako wa washukiwa wa mauaji ya mwanaume mmoja mwenye umri wa miaka hamsini na minane katika Lokesheni ya Chebor kwenye kaunti ya Pokot Magharibi.Kulingana na Kamanda […]
-
VIJANA KAUNTI YA POKOT MAGHARIBI WATISHIA KUISHTAKI SERIKALI KUU KWA MADAI YA KUENDESHA OPARESHENI KAPEDO BILA KUWAJALI WATU WASIO NA HATIA
Vijana katika Kaunti ya Pokot Magharibi wakiongozwa na mwanaharakati Dennis Kapchok maarufu Mulmulwas na mwakilishi maalum Ozil Kasheusheu wametishia kuishtaki serikali kuu kwa madai ya kuendesha oparesheni katika eneo la […]
-
OPARESHENI YAENDELEA KUTEKELEZWA KAPEDO HUKU WATU SABA WAKIKAMATWA NA SILAHA HARAMU KUTWALIWA
Mshirikishi wa serikali eneo la Bonde la Ufa George Natembeya amesema kuwa kufiki sasa watu 7 wametiwa mbaroni na maafisa wa polisi katika oparesheni inayoendelezwa eneo la Kapedo mpakani pa […]
Top News