News
-
MWANAMMKE ALIYEFUNGA HARUSI NA ROHO MTAKATIFU KAUNTI YA POKOT MAGHARIBI AANZA UTUMISHI RASMI
Mwanamke aliyefunga harusi na Roho Mtakatifu katika Kaunti ya Pokot Magharibi wiki iliyopita Elizabeth Nalem ameanza rasmi utumishi wake kwa Mungu huku akisema ameagizwa kuzunguka dunia nzima.Akizungumza na wanahabari katika […]
-
UAMUZI WA RAIS KUONGEZA KAFYU KWA SIKU 60 WAKASHIFIWA VIKALI
Baadhi ya wafanya biashara mjini Eldoret katika kaunti ya Uasin Gishu wamekosoa hatua ya serikali kuongeza mda wa kutekeleza marufuku ya kafyu kwa siku 60 zaidi kuanzia tarehe 28 mwezi […]
-
CHAMA CHA UDA CHAENDELEA KUPIGIWA UPATO POKOT MAGHARIBI
Viongozi mbali mbali wandani wa naibu Rais William Ruto katika kaunti hii ya Pokot Magharibi wameendelea kupigia upato chama cha UDA kinachohusishwa na Ruto wakikitaja kuwa suluhu kwa changamoto zinazowakumba […]
-
WATOTO WA KIKE KAUNTI YA POKOT MAGHARIBI WASHAURIWA KUJITUNZA
Wito umetolewa kwa watoto wa kike kaunti hii ya Pokot Magharibi kujitunza na kutojihusisha na maswala ambayo yatawapelekea kupachikwa mimba za mapema na kuathiri masomo yao.Ni wito ambao umetolewa na […]
-
SERIKALI YA KAUNTI YA TRANS NZOIA YATARAJIWA KUSAMBAZA NETI KWA WAKAZI.
Serikali ya kaunti ya Trans nzoia kupitia wizara ya afya inaendeleza uhamasisho kwa wadau katika maandalizi ya zoezi la kutoa neti kwa wakazi katika juhudi za kupunguza maradhi ya malaria […]
-
WADAU WATAKIWA KUCHANGIA JUHUDI ZA KUHAKIKISHA NIDHAMU MIONGONI MWA WANAFUNZI.
Wadau mbali mbali katika kaunti ya Pokot magharibi wametakiwa kuchangia juhudi za kuhakikisha nidhamu inadumishwa miongoni mwa vijana hasa wanafunzi.Ni wito wake mwalimu mkuu wa shule ya upili ya wavulana […]
-
WAKAZI KAUNTI YA POKOT MAGHARIBI WATAKIWA KUZINGATIA UPANZI WA MITI.
Wito umetolewa kwa wakazi katika kaunti hii ya Pokot magharibi kuzingatia zaidi upanzi wa miti ili kutunza mazingira mbali na manufaa mengine mengi ambayo yantokana na miti.Ni wito wake waziri […]
-
KANISA LA FULL GOSPEL LAJITENGA NA MAMA ALIYEJIFANYIA HARUSI CHELANG’A.
Siku chache tu baada ya mama mmoja kutoka eneo la Kalorema kujifanyia harusi mwenyewe katika bustani ya Chelang’a mjini Makutano kwa madai aliagizwa kufanya hivyo na mwenyezi Mungu, kanisa la […]
-
MBUNGE WA SIRISIA NA MWAKILISHI WADI YA LWANDANYI WATAKIWA KUSULUHISHA TOFAUTI ZAO.
Mbunge wa Siria katika kaunti ya Bungoma John Waluke na mwakilishi wadi ya Lwandanyi Tony Baraza wametakiwa kuzika tofauti zao za kisiasa na kutekeleza maendeleo.Wakizungumza mjini Lwandanyi wakiongozwa na Mourice […]
-
WAFANYIBIASHARA KONGELAI WALALAMIKIA HALI MBOVU YA SOKO HILO.
Wafanyibiashara katika soko la Kongelai eneo la Kacheliba kaunti hii ya Pokot magharibi wamelalamikia hali mbovu ya soko hilo huku wakitoa wito kwa serikali ya kaunti hii kuboresha hali ya […]
Top News










