News
-
KAUNTI YA POKOT MAGHARIBI KUSHUHUDIA MVUA CHACHE MWAKA HUU KUTOKANA NA MABADILIKO YA HALI YA ANGA
Ni wazi kuwa mwaka huu hakutashuhudiwa kiwango cha kutosha cha mvua ikilinganishwa na mwaka jana.Haya ni kulingana na katibu katika wizara ya ugatuzi na maeneo kame Mika Powon ambaye alikuwa […]
-
VIONGOZI WA DINI WAANZISHA MIKAKATI YA KUWAHAMASISHA WANANCHI KUHUSU COVID-19.
Viongozi wa dini nchini wameanzisha mikakati ya kuwahamasisha wananchi kuhusu umuhimu wa kuzingatia masharyti ya wizara ya afya katika kuzuia maambukizi ya virusi vya corona.Akizungumza katika warsha ya siku mbili […]
-
CHANJO DHIDI YA UGONJWA WA UKAMBI KUANZA LEO.
Siku moja tu baada ya wizara ya afya kwa ushirikiano na shirika la kimataifa la kuwashughulikia watoto UNICEF kuzindua rasmi chanjo dhidi ya surua yaani Measles, wizara ya afya kaunti […]
-
HISIA ZAENDELEA KUIBULIWA KUHUSU KUBUNIWA CHAMA KIPYA POKOT MAGHARIBI.
Siku chache tu baada ya baadhi ya viongozi katika kaunti hii ya Pokot magharibi wakiongozwa na mwakilishi wadi maalum Elijah Kasheusheu kupuuzilia mbali kubuniwa chama kipya katika kaunti hii ya […]
-
GAVANA WANGAMATI ASHUTUMIWA KWA MADAI YA KUFADHILI GHASIA MAZISHINI BUNGOMA.
Gavana a kaunti ya Bungoma Wyclife Wangamati ameshutumiwa kwa madai ya kutumia maafisa wa serikali yake kusababisha ghasia hasa katika hafla za mazishi.Kiongozi wa wengi katika bunge la kaunti hiyo […]
-
BAADHI YA VIONGOZI POKOT MAGHARIBI WAPUUZILIA MBALI KUBUNIWA CHAMA KIPYA.
Baadhi ya viongozi katika kaunti hii ya Pokot magharibi wameendelea kupuuzilia mbali madai ya kubuniwa chama kipya katika kaunti hii kinachonuiwa kutumika katika uchaguzi mkuu ujao.Mwakilishi wadi maalum Elijah kasheusheu […]
-
WAFANYIBIASHARA WAELEZEA HOFU YA KUENEA VIRUSI VYA CORONA KONGELAI.
Wafanyibiashara katika soko la Kongelai kaunti hii ya Pokot magharibi wameelezea wasiwasi wa kuenea virusi vya corona eneo hilo kutokana na kutangamana wakazi wengi bila kuzingatia kanuni za kukabili maambukizi […]
-
WAKAZI KONGELAI POKOT MAGHARIBI WALALAMIKIA MAISHA MAGUMU.
Wakazi wa eneo la kambi chafu eneo la Kongelai katika eneo bunge la Kapenguria kaunti hii ya pokot magharibi wamelalamikia hali ngumu ya maisha wanayopitia huku wakilaumu viongozi kwa kutochukua […]
-
HITAJI LA SHAHADA KWA WANAOWANIA NYADHIFA ZA SIASA LAENDELEA KUPINGWA.
Viongozi katika kaunti ya Trans nzoia wameendelea kupinga hitaji la wanaolenga kuwania nyadhifa za kisiasa nchini kuwa na shahada.Mgombea kiti cha ubunge eneo bunge la Cherangíani John Njuguna amesema kuwa […]
-
MUUNGANO WA JUBILEE NA ODM WATILIWA SHAKA POKOT MAGHARIBI.
Hisia mseto zimeendelea kuibuliwa nchini kufuatia hatua ya chama cha jubilee na kile cha ODM kutangaza mipango ya kuunda muungano kuelekea uchaguzi mkuu wa mwaka 2022.Baadhi ya wakazi wa makutano […]
Top News










