News
-
WAKAZI WAONYWA DHIDI YA KUGAWANYWA ARDHI POKOT MAGHARIBI.
Wakazi wa kaunti hii ya Pokot magharibi hasa wanaoshi kwenye ardhi za jamii yani community land wameshauriwa kutoshinikiza kupewa hati miliki za ardhi hali itakayopelekea kugawanya ardhi hizo.Akizungumza katika fisi […]
-
SEFA YAZINDUA UJENZI WA BWAWA ORWO POKOT MAGHARIBI.
Shirika la SEFA limezindua ujenzi wa mradi wa unyunyiziaji maji mashamba wa parasany eneo la Orwo katika kaunti hii ya Pokot magharibi ili kuwawezesha wakulima eneo hilo kuendesha shughuli za […]
-
SWALA LA ARDHI LAZIDI KUIBUA UTATA TRANS NZOIA.
Viongozi kutoka Kaunti ya Trans Nzoia sasa wanataka shughuli ya kurejesha ardhi yote ya umma iliyonyakuliwa na watu binafsi kutekelezwa kwenye ardhi zote za umma haswa mjini Kitale, wakisema asilimia […]
-
KICD YATETEA HATUA YA KUWEKA LUGHA YA POKOT CHINI YA JAMII YA KALENJIN.
Taasisi ya mitaala nchini KICD imetetea hatua yake ya kuweka lugha ya pokot chini ya jamii ya kalenjin katika hatua ya kujumuisha lugha za kiasili kwenye mtaala wa elimu nchini […]
-
USALAMA POKOT MAGHARIBI WAIMARIKA KUTOKANA NA MICHANGO YA MASHIRIKA YA KIJAMII.
Miradi ya kilimo inayoendelezwa na mashirika mbali mbali kaunti hii ya pokot magharibi imechagia pakubwa kupunguza visa vya utovu wa usalama kaunti hii ya Pokot magharibi.Akizungumza eneo la Turkwel mwakilishi […]
-
WAKAZI WA POKOT MAGHARIBI WAENDELEA KUNUFAIKA NA MIRADI CHINI YA NRT.
Shirika la NRT Northern Rangelands Trust pamoja na mashirika mengine ikiwemo lile la E. For impact kwa ushirikiano na serikali ya kaunti hii ya Pokot magharibi limeendeleza miradi ya kuwanufaisha […]
-
UCHUNGUZI WAANZISHWA KUHUSU KUTEKETEA BWENI LA SHULE YA ST. BRIDGIT’S KIMININI.
Kamishina wa kaunti ya Trans nzoia sam Ojwanga ameahidi kuimarisha usalama katika shule hasa za mabweni ili kukabili visa vya majengo kuteketea shuleni.Akizungumza muda mfupi tu baada ya bweni la […]
-
UHABA WA MIUNDO MSINGI WAKUMBA SHULE NYINGI POKOT MAGHARIBI.
Zoezi la kuwasajili wanafunzi wanaojiunga na kidato cha kwanza linapoendelea, wakuu wa shule mbali mbali wameendelea kulalamikia uhaba wa miundo msingi kukidhi idadi ya wanafunzi wanaojiunga na shule zao.Mwalimu mkuu […]
-
WAKAZI WATAKIWA KUKUMBATIA MATUMIZI YA CHOO POKOT KUSINI.
Wakazi wa eneo bunge la Pokot kusini kaunti hii ya Pokot magharibi wametakiwa kukumbatia matumizi ya choo ili kuepuka magonjwa ambayo yanatokana na uchafu.Ni wito wake afisa wa jamii eneo […]
-
WAFANYIBIASHARA WATAKIWA KUIMARISHA USAFI MJINI MAKUTANO.
Wafanyibishara mjini makutano katika kaunti hii ya Pokot magharibi wametakiwa kushirikiana na serikali ya kaunti katika kuhakikisha kuwa usafi unadumishwa maeneo yao ya kazi.Akizungumza baada ya kuongoza shughuli ya kusafisha […]
Top News










