News
-
IDARA ZA USALAMA ZATAKIWA KUCHUNGUZA MADAI YA KUFURUSHWA MTOTO CHELOMBEI
Wito umetolewa kwa idara husika katika kaunti hii ya Pokot magharibi kuchukulia hatua jamii moja eneo la Chelombey Kacheliba kwa kumfurusha mtoto mwenye umri wa miaka 11 na kumlazimu kutembea […]
-
WAKAZI POKOT MAGHARIBI WATAKIWA KUENDELEA KUTOA DAMU.
Wakazi wa kaunti hii ya Pokot magharibi wametakiwa kuendelea kujitokeza kutoa damu ili kusaidia katika kukabili upungufu wa damu katika hospitali za Kapenguria, Kacheliba na Ortum.Ni wito ambao umetolewa na […]
-
UGAVI WA FEDHA ZA MAENDELEO KATIKA SHULE UNAPASWA KUZINGATIA UWAZI WA SHULE.
Mbunge wa Kapenguria kaunti hii ya Pokot Magharibi Samwel Moroto ametoa wito kwa idara ya elimu kaunti hii kutoa fedha kwa shule mbali mbali kwa kuzingatia uwazi wa shule hizo […]
-
HUENDA UKOSEFU WA MVUA KATIKA KAUNTI YA POKOT MAGHARIBI UKAATHIRI MAVUNO MWAKA HUU
Serikali ya taifa imetakiwa kuanza mipango ya kuweka mikakati ya kuwasaidia wakazi wa maeneo mengi ya kaunti hii ya Pokot Magharibi kwa chakula katika siku za usoni.Ni wito wake mwakilishi […]
-
IDADI NDOGO YA VIJANA KUTOKA KAUNTI YA TRANS NZOIA INAJIUNGA NA VYUO VYA KIUFUNDI
Serikali ya Kaunti ya Trans-Nzoia kupitia kwa wizara ya Elimu ya kiufundi imelalamikia idadi ndogo ya wanafunzi wanaojiunga na vyuo vya anwai licha ya serikali ya kaunti kuekeza pakubwa katika […]
-
RAIS KENYATTA ASHAURIWA KUWEKA WAZI SABABU ZA KUWATEMA NJE MAJAJI 6 WA MAHAKAMA YA UPEO
Siku chache baada ya Rais Uhuru Kenyatta kukosa kuwateua majaji 6 wa mahakama ya upeo shinikizo zinazidi kutolewa kwa Rais Uhuru Kenyatta kutoa wazi sababu zilizo pelekea majaji hao kukosa […]
-
WAKAZI WA POKOT MAGHARIBI WALALAMIKIA MAKADIRIO YA BAJETI.
Hisia mbali mbali zimeendelea kuibuliwa nchini kufuatia siku moja baada ya waziri wa fedha ukur yattani kusoma makidirio ya bajeti ya mwaka 2021/2022.Wakazi wa kaunti hii ya Pokot magharibi hasa […]
-
WAKUU WA SHULE WATAKIWA KUTOWATUMA WANAFUNZI NYUMBANI.
Miito imeendelea kutolewa kwa wakuu wa shule katika kaunti hii ya pokot magharibi kuwa na subira na kutowatuma nyumbani wanafunzi kutafuta karo.Wa hivi punde kutoa wito huo ni mwakilishi wadi […]
-
WANASIASA WATAKIWA KUJITENGA NA MASWALA YA HOSPITALI YA KACHELIBA.
Uongozi wa hospitali ya kacheliba kaunti hii ya pokot magharibi umekanusha vikali madai ya kushirikiana na baadhi ya maduka ya kuuza dawa mjini kacheliba kwa lengo la kujinufaisha kifedha.Kulingana na […]
-
WAKAZI WATAKIWA KUSHIRIKIANA NA MWANAKANDARASI ALIYETWIKWA JUKUMU LA KUJENGA BARABARA KADHAA KAPENGURIA.
Wakazi wa maeneo ya kamwino, chewoyet, sakas hadi eneo la siyoi wametakiwa kushirikiana na mwanakandarasi anayetarajiwa kutekeleza shughuli ya ujenzi wa barabara ya kupitia maeneo hayo unaotarajiwa kuanza karibuni.Akizungumza kwa […]
Top News