News
-
SHUGHULI YA UCHIMBAJI MAFUTA TURKANA KUREJELEWA MWISHONI MWA MWAKA UJAO.
Wizara ya petroli na madini inaendeleza zoezi la kuwahusisha wananchi kuhusu mradi wa uchimbaji wa mafuta ghafi kaunti ya turkana kabla ya kurejelewa rasmi shughuli hiyo ambayo kwa sasa imesitishwa.Akizungumza […]
-
BUNGE LA BUNGOMA KUREJELEA VIKAO JUMA LIJALO BAADA YA KUFUNGWA KWA MUDA.
Bunge la kaunti ya Bungoma litaanza kujadili mswada wa bajeti wa mwaka 2021/2022 kuanzia wiki ijayo.Kiongozi wa wengi katika bunge hilo Joseph Nyongesa amesema kuwa bunge hilo litajadili mswada huo […]
-
SERIKALI YA POKOT MAGHARIBI YAPOKEZWA VIFAA VYA KUKAGUA ARDHI KIDIJITALI.
Mwenyekiti wa kamati ya ardhi, nyumba na maendeleo ya miji katika bunge la kaunti hii ya Pokot magharibi Johnson Lokato amepongeza shirika la FAO pamoja na la umoja wa ulaya […]
-
WAKAZI WAONYWA DHIDI YA KUGAWANYWA ARDHI POKOT MAGHARIBI.
Wakazi wa kaunti hii ya Pokot magharibi hasa wanaoshi kwenye ardhi za jamii yani community land wameshauriwa kutoshinikiza kupewa hati miliki za ardhi hali itakayopelekea kugawanya ardhi hizo.Akizungumza katika fisi […]
-
SEFA YAZINDUA UJENZI WA BWAWA ORWO POKOT MAGHARIBI.
Shirika la SEFA limezindua ujenzi wa mradi wa unyunyiziaji maji mashamba wa parasany eneo la Orwo katika kaunti hii ya Pokot magharibi ili kuwawezesha wakulima eneo hilo kuendesha shughuli za […]
-
SWALA LA ARDHI LAZIDI KUIBUA UTATA TRANS NZOIA.
Viongozi kutoka Kaunti ya Trans Nzoia sasa wanataka shughuli ya kurejesha ardhi yote ya umma iliyonyakuliwa na watu binafsi kutekelezwa kwenye ardhi zote za umma haswa mjini Kitale, wakisema asilimia […]
-
KICD YATETEA HATUA YA KUWEKA LUGHA YA POKOT CHINI YA JAMII YA KALENJIN.
Taasisi ya mitaala nchini KICD imetetea hatua yake ya kuweka lugha ya pokot chini ya jamii ya kalenjin katika hatua ya kujumuisha lugha za kiasili kwenye mtaala wa elimu nchini […]
-
USALAMA POKOT MAGHARIBI WAIMARIKA KUTOKANA NA MICHANGO YA MASHIRIKA YA KIJAMII.
Miradi ya kilimo inayoendelezwa na mashirika mbali mbali kaunti hii ya pokot magharibi imechagia pakubwa kupunguza visa vya utovu wa usalama kaunti hii ya Pokot magharibi.Akizungumza eneo la Turkwel mwakilishi […]
-
WAKAZI WA POKOT MAGHARIBI WAENDELEA KUNUFAIKA NA MIRADI CHINI YA NRT.
Shirika la NRT Northern Rangelands Trust pamoja na mashirika mengine ikiwemo lile la E. For impact kwa ushirikiano na serikali ya kaunti hii ya Pokot magharibi limeendeleza miradi ya kuwanufaisha […]
-
UCHUNGUZI WAANZISHWA KUHUSU KUTEKETEA BWENI LA SHULE YA ST. BRIDGIT’S KIMININI.
Kamishina wa kaunti ya Trans nzoia sam Ojwanga ameahidi kuimarisha usalama katika shule hasa za mabweni ili kukabili visa vya majengo kuteketea shuleni.Akizungumza muda mfupi tu baada ya bweni la […]
Top News










