News
-
KAMISHINA WA BUNGOMA AONYWA DHIDI YA KUINGIZA SIASA KATIKA VITA DHIDI YA DHULUMU ZA JINSIA.
Kamishina wa kaunti ya Bungoma Samwel Kimiti ameonywa dhidi ya kutumia afisi ya kupambana na dhuluma dhidi ya wasichana wadogo kuendeleza ajenda za kisiasa kwa baadhi ya wanasiasa kaunti hiyo.Akizungumza […]
-
OKA YAJITETEA KUHUSIANA NA MADAI KUWA NI MUUNGANO WA KIKABILA.
Mshirikishi wa kitaifa wa muungano wa One Kenya Alliance Ferdinand Wanyonyi amekosoa vikali matamshi yaliyotolewa na naibu rais William Ruto kuwa muungano huo ni wa kikabila.Wanyonyi amesema kuwa malengo ya […]
-
VIONGOZI WASHINIKIZA KUPEWA MARUPURUPU YA KUSTAAFU WALIOKUWA MADIWANI NA WABUNGE WA ZAMANI.
Ipo haja ya waliokuwa madiwani pamoja na wabunge wa zamani kupewa marupurupu ya kustaafu.Haya ni kulingana na mbunge wa kapenguria kaunti hii ya Pokot magharibi Samwel Moroto ambaye amesema kuwa […]
-
MUKENYANG ATAJA JUHUDI ZA KUMBANDUA AFISINI KUWA ZILIZOCHOCHEWA KISIASA.
Spika wa bunge la kaunti hii ya pokot magharibi Catherine Mukenyang akitarajiwa kufika mbele ya kamati ya bunge hilo kujitetea baada ya kuanzishwa mchakato wa kumbandua afisini, amewalaumu pakubwa mahasimu […]
-
MBITO ATAKIWA KUOMBA MSAMAHA KUHUSU MATAMSHI YAKE DHIDI YA MFANYIBISHARA TRANS NZOIA.
Seneta wa kaunti ya Trans nzoia Michael Mbito ametakiwa kuomba msamaha kwa kumwita mfanyibiashara Nathaniel Tum mnyakuzi mkuu katika mzozo wa umiliki wa kipande cha ardhi cha ekari 10 baina […]
-
WAKULIMA WATAKIWA KUKUMBATIA MBUZI WA KISASA AINA YA GALA GOATS.
Wakulima katika kaunti hii ya Pokot magharibi wametakiwa kukumbatia mbuzi wa kisasa aina gala goats ili kuimarisha mazao yao.Akizungumza eneo la Nasukuta wakati wa kupeanwa mbuzi hao kwa makundi 27 […]
-
JUHUDI ZA KUOKOA MAPENDEKEZO YA BBI HUENDA ZIKAELEKEZWA BUNGENI.
Juhudi za kuhakikisha baadhi ya mapendekezo muhimu ambayo yalikuwa yakishinikizwa kupitia mpango wa upatanishi BBI uliotupiliwa mbali na mahakama kuu na kisha ile ya rufaa sasa zitaelekezwa katika bunge la […]
-
HOJA YA KUMBANDUA SPIKA YAWASILISHWA KATIKA BUNGE LA POKOT MAGHARIBI.
Hatima ya spika wa bunge la kaunti hii ya pokot magharibi Catherine Mukenyang sasa imo mikononi mwa wabunge katika bunge hilo baada ya kuwasilishwa hoja ya kumbandua afisini.Akiwasilisha hoja hiyo […]
-
UJENZI WA MADARASA KATIKA SHULE YA SIKULU TRANS NZOIA WAKAMILIKA.
Ni afueni kwa wanafunzi wa Shule ya msingi na upili ya Sikulu eneo bunge la Saboti Kaunti ya Trans-Nzoia baada ya kukamilika ujenzi wa madarasa 9 kwenye shule hizo kwa […]
-
WAKAZI WA OROLWO, POKOT MAGHARIBI WALALAMIKIA UHABA WA MAJI.
Wito umetolewa kwa serikali ya kaunti hii ya Pokot magharibi kupitia wizara ya maji na mazingira kuhakikisha wakazi wa orolwo wanapata maji safi kupitia uchimbaji wa visima vya maji eneo […]
Top News










