News
-
SERIKALI YA POKOT MAGHARIBI YAPOKEZWA BIDHAA ZA KUKABILI UTAPIAMLO.
Serikali ya kaunti hii ya Pokot magharibi imepokezwa bidhaa za kukabili utapia mlo miongoni mwa watoto katika kaunti hii kutoka shirika la action against hunger kupitia mpango wa mother to […]
-
VIONGOZI TRANS NZOIA WADAI KUINGIZWA SIASA KATIKA SHUGHULI YA KUTOA VITAMBULISHO.
Viongozi kutoka Endebess Kaunti ya Trans Nzoia wamelalamikia kile wametaja kuhangaishwa vijana wanaotaka kujisajili kupata vitambulisho vya kitaifa na maafisa husika .Wakiongozwa na mbunge wa Endebess Dkt Robert Pukose viongozi […]
-
WAKAZI WA EWAN WALALAMIKIA BARABARA MBOVU POKOT KUSINI.
Wakazi wa eneo la Ewan eneo bunge la Pokot kusini kaunti hii ya Pokot magharibi wamelalamikia hali mbovu ya barabara eneo hilo wanayosema kuwa imeathiri shughuli nyingi muhimu.Wakiongozwa na Mathew […]
-
BUNGE LA POKOT MAGHARIBI LAJITETEA KUHUSU HATUA YA KUMTIMUA SPIKA.
Baadhi ya waakilishi wadi kaunti hii ya pokot magharibi hasa waliochangia hoja ya kumbandua spika wa bunge la kaunti hii Catherine Mukenyang wamevunja kimya chao kutokana na shutuma ambazo zinaelekezwa […]
-
MAHAKAMA YAWEKA ZUIO LA MUDA KUTIMULIWA MUKENYANG.
Spika wa bunge la kaunti hii ya Pokot magharibi Catherine Mukenyang amepata afueni ya muda baada ya mahakama kuu ya Eldoret kusitisha kwa muda uamuzi wa bunge hilo kumwondoa mamlakani.Jaji […]
-
VIONGOZI TRANS NZOIA WATAKIWA KUWATAFUTA WAHISANI KUIMARISHA KAUNTI KIUCHUMI.
Viongozi katika kaunti ya Trans nzoia wametakiwa kuwatafuta wahisani kuwekeza katika sekta mbali mbali kaunti hiyo kama njia moja ya kupiga jeki kilimo na uchumi wa eneo hilo badala ya […]
-
WAZAZI WALALAMIKIA MTAALA WA UMILISI CBC KWA GHALI.
Chama cha wanasheria LSK kinapotarajiwa kufika mahakamani kupinga utekelezwaji wa mtaala wa elimu CBC, baadhi ya wazazi katika kaunti hii ya pokot magharibi wameendelea kulalamikia mtaala huo ambao wamedai ni […]
-
KUBANDULIWA MUKENYA KAMA SPIKA KWAENDELEA KUCHOCHEA HISIA.
mseto zimeendelea kuibuliwa katika kaunti hii ya pokot magharibi kufuatia hatua ya bunge la kaunti hii kumbandua afisini spika Catherine Mukenyang kwa madai ya utumizi mbaya wa afisi miongoni mwa […]
-
BIDHAA ZA WIZI ZAKAMATWA KAPENGURIA.
Polisi katika kituo cha polisi cha kapenguria wamepata baadhi ya bidhaa za wizi kufuatia oparesheni ambayo inaendeshwa kuwanasa washukiwa wa misururu ya wizi ambayo imekuwa ikiripotiwa eneo la kapenguria kaunti […]
-
WAKIMBIZI TRANS NZOIA WALALAMIKIA KUTENGWA KIELIMU.
Siku moja baada ya ulimwengu kuadhimisha siku ya kusoma na kuandika jamii ya wakimbizi wa ndani kwa ndani Kaunti ya Trans Nzoia wamelalamikia ugumu ambao wanao wanapitia kupata elimu .Kwa […]
Top News









