News
-
WADAU WA MICHEZO TRANS NZOIA WAUNGA MKONO CBC.
Na Benson AswaniWashikadau katika sekta ya michezo wanaunga mkono mtaala mpya wa CBC kwa kutilia maanani ukuzaji wa vipaji miongoni mwa wanafunzi shuleni badala ya kutegemea masomo ya nadharia pekee.Akihutubu […]
-
NANOK APUUZA RIPOTI ZA KUWEPO BAA LA NJAA TURKANA.
Na Benson AswaniGavana wa kaunti ya Turkana Josephat Nanok amepuuzilia mbali ripoti ya baadhi ya vyombo vya habari kuwa baa la njaa linakumba kaunti ya Turkana na kuwa familia nyingi […]
-
WAKAZI POKOT MAGHARIBI WATAKIWA KUENDELEA KUJITOKEZA KUJISAJILI KUWA WAPIGA KURA.
Na Benson AswaniSeneta wa kaunti hii ya Pokot magharibi Samwel Poghisio ameendelea kuwashinikiza wakazi hasa vijana walio na vitambulisho kujitokeza kwa wingi kujisajili kuwa wapiga kura katika zoezi la kuwasiliji […]
-
‘SI WAKATI WA KULEGEZA MASHARTI YA KUKABILI COVID 19,’ ASEMA APAKORENG.
Na Benson AswaniWito umetolewa kwa wakazi wa kaunti hii ya Pokot magharibi kutolegeza kamba katika kuzingatia masharti ya kukabili maambukizi ya virusi vya corona licha ya takwimu kuonyesha kupungua maambukizi […]
-
WATUMISHI WA UMMA WASTAAFU WATAKA KUONGEZEWA MARUPURUPU.
Na Benson AswaniWatumishi wa umma waliostaafu katika kaunti hii ya Pokot magharibi sasa wanaitaka serikali kuongeza kiwango cha marupurupu ya kustaafu wanayopokea kwa sasa kwa asilimia 3.5.Wakiongozwa na katibu wa […]
-
CALEB AMISI ATEULIWA MWENYEKITI WA ODM TRANS NZOIA
Chama cha ODM tawi la Trans Nzoia kimemteua Caleb Amisi ambaye pia ni mbunge wa saboti kuwa mwenyekiti mpya chama hicho.Kwenye mkao na wanahabari baada ya uteuzi huo uliowahusisha wanachama […]
-
WANAKANDARASI WAHIMIZWA KUWATUMIA VIJANA WA ENEO LA POKOT KWA KUWAPA KAZI
Wanakandarasi na wasimamizi wa shughuli ya ujenzi wa barabara eneo bunge la Kapenguria katika kaunti hii ya pokot magharibi wametakiwa kuhakikisha kuwa wakazi wa eneo bunge hili ndio watatumika katika […]
-
CHAMA KIPYA CHA KUP CHA KATALIWA POKOT MAGHARIBI NA VIONGOZI WA KAUNTI HIYO
Seneta wa Kaunti hii Daktari Samuel Poghisio ametoa msimamo wake waziwazi kuhusiana Chama Cha KUP ambacho kimezinduliwa hiyo jana katika Jiji la Nairobi akisema kwamba kamwe hatajihusisha na vyama vya […]
-
MARUFUKU YA ‘KWARAKWARA’ YAUNGWA MKONO NA VIONGOZI POKOT MAGHARIBI.
Hatua ya naibu kamishina eneo pokot kaskazini kaunti hii ya Pokot magharibi kupiga marufuku michezo inayojulikana kama nasa kwarakwara eneo hilo imeendelea kupongezwa na baadhi ya viongozi katika kaunti hii […]
-
CHAMA KIPYA POKOT MAGHARIBI CHAZIDI KUPOKEA PINGAMIZI.
Juhudi za kubuniwa chama kipya cha kisiasa katika kaunti hii ya Pokot magharibi zinazoendelezwa na gavana John Lonyangapuo na mbunge wa pokot kusini David Pkosing zimeendelea kupokea pingamizi kutoka kwa […]
Top News










