News
-
WAKAZI POKOT MAGHARIBI WAHIMIZWA KUKUMBATIA VYUO VYA KIUFUNDI.
Na Benson AswaniWazazi kaunti hii ya Pokot magharibi wametakiwa kuhakikisha kuwa wanao ambao walifanya mtihani wa kidato cha nne na hawakufanikiwa kujiunga na vyuo vikuu wanajiunga na vyuo vya kiufundi […]
-
SERIKALI YA POKOT MAGHARIBI YATAKIWA KUELEZA HATIMA YA WANAFUNZI WANAOSOMEA NJE YA KAUNTI HII KUHUSU SWALA LA BASARI.
Na Benson AswaniBaadhi ya wazazi katika kaunti hii ya Pokot magharibi wamelalamikia kukosa fedha za basari kwa ajili ya karo ya wanao hasa wanaosomea nje ya kaunti hii ya Pokot […]
-
WATUMISHI WA UMMA WASTAAFU WATAKA KUJUMUISHWA KATIKA SHUGHULI ZINAZOHUSU UMMA.
Na Benson AswaniWatumishi wa umma waliostaafu katika kaunti hii ya Pokot magharibi wanaitaka serikali kutowatenga katika shughuli ya kuwahusisha wananchi katika maswala mbali mbali ambayo yanatekelezwa na serikali na ambayo […]
-
WADAU WA MICHEZO TRANS NZOIA WAUNGA MKONO CBC.
Na Benson AswaniWashikadau katika sekta ya michezo wanaunga mkono mtaala mpya wa CBC kwa kutilia maanani ukuzaji wa vipaji miongoni mwa wanafunzi shuleni badala ya kutegemea masomo ya nadharia pekee.Akihutubu […]
-
NANOK APUUZA RIPOTI ZA KUWEPO BAA LA NJAA TURKANA.
Na Benson AswaniGavana wa kaunti ya Turkana Josephat Nanok amepuuzilia mbali ripoti ya baadhi ya vyombo vya habari kuwa baa la njaa linakumba kaunti ya Turkana na kuwa familia nyingi […]
-
WAKAZI POKOT MAGHARIBI WATAKIWA KUENDELEA KUJITOKEZA KUJISAJILI KUWA WAPIGA KURA.
Na Benson AswaniSeneta wa kaunti hii ya Pokot magharibi Samwel Poghisio ameendelea kuwashinikiza wakazi hasa vijana walio na vitambulisho kujitokeza kwa wingi kujisajili kuwa wapiga kura katika zoezi la kuwasiliji […]
-
‘SI WAKATI WA KULEGEZA MASHARTI YA KUKABILI COVID 19,’ ASEMA APAKORENG.
Na Benson AswaniWito umetolewa kwa wakazi wa kaunti hii ya Pokot magharibi kutolegeza kamba katika kuzingatia masharti ya kukabili maambukizi ya virusi vya corona licha ya takwimu kuonyesha kupungua maambukizi […]
-
WATUMISHI WA UMMA WASTAAFU WATAKA KUONGEZEWA MARUPURUPU.
Na Benson AswaniWatumishi wa umma waliostaafu katika kaunti hii ya Pokot magharibi sasa wanaitaka serikali kuongeza kiwango cha marupurupu ya kustaafu wanayopokea kwa sasa kwa asilimia 3.5.Wakiongozwa na katibu wa […]
-
CALEB AMISI ATEULIWA MWENYEKITI WA ODM TRANS NZOIA
Chama cha ODM tawi la Trans Nzoia kimemteua Caleb Amisi ambaye pia ni mbunge wa saboti kuwa mwenyekiti mpya chama hicho.Kwenye mkao na wanahabari baada ya uteuzi huo uliowahusisha wanachama […]
-
WANAKANDARASI WAHIMIZWA KUWATUMIA VIJANA WA ENEO LA POKOT KWA KUWAPA KAZI
Wanakandarasi na wasimamizi wa shughuli ya ujenzi wa barabara eneo bunge la Kapenguria katika kaunti hii ya pokot magharibi wametakiwa kuhakikisha kuwa wakazi wa eneo bunge hili ndio watatumika katika […]
Top News










