News
-
CHAMA CHA KANU POKOT MAGHARIBI CHAPUUZILIA MBALI UWEPO WA MIGAWANYIKO MIONGONI MWA WAGOMBEA.
Seneta wa kaunti hii ya Pokot magharibi Samwel Poghisio amepuuzilia mbali madai ya kuwepo migawanyiko miongoni mwa baadhi ya wagombea viti vya kisiasa kupitia chama cha KANU katika kaunti hii.Akizungumza […]
-
MBUNGE WA SABAOTI ASUTWA KWA KULIPAKA TOPE JINA LA SENETA WA TRANSNZOIA
Seneta wa kaunti ya Trans nzoia Michael Mbito amemsuta mbunge wa Saboti Caleb Amisi kwa madai ya kulipaka tope jina lake badala ya kutangaza sera kwa wapiga kura.Mbito ambaye pia […]
-
MKUTANO WA CHAMA CHA KANU WAHAIRISHWA KAUNTI YA POKOT MAGHARIBI
Chama cha KANU kimetangaza kuahirisha mkutano wa chama hicho uliokuwa umeratibiwa kuandaliwa kesho ijumaa katika kaunti hii ya Pokot magharibi hadi siku ambayo itatangazwa baadaye baada ya kusuluhishwa tatizo la […]
-
MATAYARISHO YOTE YA MCHUJO YA CHAMA CHA UDA YAMEKAMILIKA KAUNTI YA TRANSNZOIA
Chama cha UDA kikijitayarisha kwa kura ya mchujo kuanzia juma lijalo, chama hicho kimefanya mkutano na usimamizi wa uchaguzi na wagombezi viti 134 wa chama hicho kwenye nyadhifa mbalimbali mjini […]
-
WAGOMBEA VITI MBALIMBALI KAUNTI YA POKOT MAGHARIBI WAMEHAKIKISHIWA MCHUJO WA HURU NA WA HAKI
Wagombea nyadhifa za kisiasa kupitia chama cha UDA Kaunti hii ya Pokot magharibi wameelezea imani ya kuandaliwa mchujo ulio huru na wa haki.Mgombea kiti cha ubunge eneo la Pokot kusini […]
-
VIJANA ZAIDI WANUFAIKA NA HUDUMA ZA PENDO AFRIKA POKOT MAGHARIBI.
Idadi kubwa ya vijana katika kaunti hii ya Pokot magharibi wamenufaika pakubwa kutokana na huduma za kiutu zinazotolewa na shirika lisilo la kiserikali la Pendo Afrika.Kulingana na mkurugenzi wa shirika […]
-
VIJANA POKOT MAGHARIBI WATAKIWA KUTOKUBALI KUTUMIKA VISIVYO NA WANASIASA.
Vijana wametakiwa kukumbatia amani na kukataa kutumika na wanasiasa katika kuvuruga mikutano ya wapinzani wao msimu huu wa kampeni za uchaguzi mkuu wa mwezi agosti.Ni wito wake msimamizi wa wadi […]
-
VIONGOZI TRANS NZOIA WAPONGEZA HATUA YA KUPUNGUZWA BEI YA MBOLEA.
Viongozi mbalimbali Kaunti ya Trans Nzoia wanaedelea kupongeza hatua ya serikali kuu kupitia kwa wizara ya Kilimo kuwapunguzia wakulima bei ya pembejeo wakisema itasadia katika kupunguza gharama ya uzalishaji wa […]
-
SERIKALI YATAKIWA KUWEKA MIKAKATI YA KUKABILI UTOVU WA USALAMA BARINGO.
Serikali kuu kwa ushirikiano na ile ya kaunti ya Baringo imetakiwa kubuni mikakati itakayowezesha utekelezaji wa miradi tofauti ya maendeleo katika eneo bunge la Tiaty ambalo kwa muda limekumbwa na […]
-
MASHIRIKA YA KIJAMII POKOT MAGHARIBI YAENDELEZA UHAMASISHO DHIDI YA VIJANA KUTUMIKA KISIASA.
Mashirika mbali mbali ya kijamii katika kaunti hii ya Pokot magharibi yanaendelea uhamasho kwa vijana dhidi ya kutumika vibaya na wanasiasa hasa msimu huu wa siasa za uchaguzi mkuu wa […]
Top News









