News
-
KUP CHAPUUZA MADAI YA KUTOKUWA NA UWEZO WA KUUZA AZIMIO POKOT MAGHARIBI.
Chama cha KUP katika kaunti hii ya Pokot magharibi kimepinga vikali madai kuwa hakina uwezo wa kuuza sera za chama cha muungano wa azimio la umoja one Kenya katika kaunti […]
-
WATU WATATU WAULIWA TOT ELGEYO MARAKWET.
Watu watatu wameuliwa kwa kupigwa risasi kufuatia shambulio ambalo limetekelezwa na washukiwa wa wizi wa mifugo katika eneo la Kapkoros Tot katika kaunti ya Elgeyo Marakwet.Kulingana na ripoti ya idara […]
-
VIONGOZI KAUNTI YA POKOT MAGHARIBI WATAKA MKEWE MAREHENI MWAKILISHI WADI JOHNSTONE LOKATO KUMRIDHI KUONGOZA ENEO LA LELAN
Siasa za urithi wa mwakilishi wadi ya Lelan eneo la pokot kusini katika kaunti hii ya Poko magharibi Johnson Lokato ambaye aliaga dunia zimesheheni mazishi yake ambayo yameandaliwa hiyo jana.Baadhi […]
-
SERKALI KUU YAANZISHA MPANGO WA UJENZI WA CHUO CHA UTABIBU TRANSNZOIA ENEO LA CHERANGANYI
Serikali imeanzisha mpango wa ujenzi wa chuo cha mafunzo ya utabibu katika eneo la cherang’ani kaunti ya Trans nzoia ikiwa njia moja ya kuhakikisha kwamba huduma bora za afya zinafika […]
-
CHUO CHA KITALE CHA NATIONAL POLYTECHNIC KNP CHA TEUA RAIS MPYA MIONGONI MWA WANAFUNZI KAUNTI YA TRANSNZOIA
Dan Tanganyika ndiye Rais mpya wa chuo cha kitaifa cha Kitale national polytechnic (KNP) kufuatia uchaguzi ulioandaliwa katika chuo hicho. Kwenye mkao na wanahabari baada ya kuapishwa rasmi Tanganyika ameahidi […]
-
MAAFISA KATIKA IDARA YA USALAMA WALAUMIWA KWA KUINGILIA SIASA KAUNTI YA POKOT MAGHARIBI
Mgombea ugavana katika kaunti hii ya Pokot magharibi kupitia chama cha UDA Simon Kachapin amewalaumu maafisa katika idara ya usalama nchini kufuatia kukithiri utovu wa usalama hasa katika eneo la […]
-
LONYANGAPUO AKOSOLEWA KUTOKANA NA CHANGUO LAKE LA MGOMBEA MWENZA.
Mgombea ugavana katika kaunti hii ya Pokot magharibi Simon Kachapin amemsuta gavana wa sasa John Lonyangapuo kwa kumchagua mgombea mwenza mwenye majina sawa na yake.Kachapin ambaye ni gavana wa kwanza […]
-
WAKAZI WA MUINO WALALAMIKIA HALI MBOVU YA MIUNDO MBINU.
Wakazi wa eneo la Muino katika kaunti hii ya Pokot magharibi wamelalamikia hali mbovu ya miundo mbinu eneo hilo.Wakiongozwa na Abraham Toiyareng, wakazi hao wamesema kuwa bararabara za eneo hilo […]
-
UONGOZI WA KHAEMBA WAKOSOLEWA TRANS NZOIA.
Viongozi mbali mbali hasa wanaoegemea chama cha DAP-K katika kaunti ya Trans nzoia wameendeleza shutuma zao kwa uongozi wa gavana Patrick Khaemba kutokana na kile wamedai kushindwa kuwajibikia maswala ambayo […]
-
WITO WA USALAMA WAENDELEA KUTOLEWA NA VIONGOZI WA BONDE LA KERIO.
Wito umetolewa kwa wakazi wa kaunti za bonde la Kerio kukumbatia amani na kutojihusisha na maswala ya uvamizi ambao umegharimu maisha ya wakazi wengi huku baadhi wakilazimika kuyakimbia makazi yao.Ni […]
Top News










