News
-
ONYO KALI YATOLEWA KWA WAGEMAJI WA POMBE KACHELIBA NA KONYAO KAUNTI YA POKOT MAGHARIBI
Wagemaji wa pombe haramu eneo la Kacheliba katika kaunti hii ya Pokot magharibi wameonywa vikali dhidi ya biashara hiyo kufuatia lalama za wakazi kuhusu kukithiri kwa biashara hiyo eneo hilo […]
-
WAWANIAJI VITI MBALIMBALI KAUNTI YA TRANSNZOIA WAMESEMA WATAHAKIKISHA USALAMA UNADUMISHWA KAUNTI HIYO
Viongozi akina Mama Kaunti ya Trans Nzoia wameelezea Imani kuwa uchaguzi mkuu wa Agosti 9 utakuwa wa amani na huru kwa wawamiaji wote.Akuhutubu baada ya kuidhinishwa kuwania kiti cha uwakilishi […]
-
WAZEE KAUNTI YA UASINGISHU WATOA WITO KWA VIONGOZI KUENEZA AMANI
Baadhi ya wazee wa jamii ya kalenjin katika kaunti ya uasin gishu wameelezea kuunga mkono ripoti ya tume ya uiano na utangamano wa kitaifa ncic inayoiorodhesha kaunti hiyo miongoni mwa […]
-
IEBC YAENDELEA KUIDHINISHA WAGOMBEA NYADHIFA ZA KISIASA AGOSTI 9.
Wagombea nyadhifa mbali mbali katika kaunti hii ya Pokot magharibi wameidhinishwa rasmi na tume huru ya uchaguzi na mipaka IEBC kuwania nyadhifa hizo katika uchaguzi mkuu wa tarehe tisa mwezi […]
-
KUP CHAPUUZA MADAI YA KUTOKUWA NA UWEZO WA KUUZA AZIMIO POKOT MAGHARIBI.
Chama cha KUP katika kaunti hii ya Pokot magharibi kimepinga vikali madai kuwa hakina uwezo wa kuuza sera za chama cha muungano wa azimio la umoja one Kenya katika kaunti […]
-
WATU WATATU WAULIWA TOT ELGEYO MARAKWET.
Watu watatu wameuliwa kwa kupigwa risasi kufuatia shambulio ambalo limetekelezwa na washukiwa wa wizi wa mifugo katika eneo la Kapkoros Tot katika kaunti ya Elgeyo Marakwet.Kulingana na ripoti ya idara […]
-
VIONGOZI KAUNTI YA POKOT MAGHARIBI WATAKA MKEWE MAREHENI MWAKILISHI WADI JOHNSTONE LOKATO KUMRIDHI KUONGOZA ENEO LA LELAN
Siasa za urithi wa mwakilishi wadi ya Lelan eneo la pokot kusini katika kaunti hii ya Poko magharibi Johnson Lokato ambaye aliaga dunia zimesheheni mazishi yake ambayo yameandaliwa hiyo jana.Baadhi […]
-
SERKALI KUU YAANZISHA MPANGO WA UJENZI WA CHUO CHA UTABIBU TRANSNZOIA ENEO LA CHERANGANYI
Serikali imeanzisha mpango wa ujenzi wa chuo cha mafunzo ya utabibu katika eneo la cherang’ani kaunti ya Trans nzoia ikiwa njia moja ya kuhakikisha kwamba huduma bora za afya zinafika […]
-
CHUO CHA KITALE CHA NATIONAL POLYTECHNIC KNP CHA TEUA RAIS MPYA MIONGONI MWA WANAFUNZI KAUNTI YA TRANSNZOIA
Dan Tanganyika ndiye Rais mpya wa chuo cha kitaifa cha Kitale national polytechnic (KNP) kufuatia uchaguzi ulioandaliwa katika chuo hicho. Kwenye mkao na wanahabari baada ya kuapishwa rasmi Tanganyika ameahidi […]
-
MAAFISA KATIKA IDARA YA USALAMA WALAUMIWA KWA KUINGILIA SIASA KAUNTI YA POKOT MAGHARIBI
Mgombea ugavana katika kaunti hii ya Pokot magharibi kupitia chama cha UDA Simon Kachapin amewalaumu maafisa katika idara ya usalama nchini kufuatia kukithiri utovu wa usalama hasa katika eneo la […]
Top News










