News
-
VIJANA WATAKIWA KUTOTUMIKA NA WANASIASA MSIMU HUU WA UCHAGUZI.
Vijana katika kaunti hii ya Pokot magharibi wametakiwa kutokubali kutumika visivyo na wanasiasa kuvuruga amani hasa wakati huu wa siasa za uchaguzi mkuu wa mwezi agosti.Ni wito ambao umetolewa na […]
-
NHIF YATAFUTA MAONI YA KUIMARISHA HUDUMA ZAKE TRANS NZOIA.
Bima ya kitaifa ya afya NHIF imeandaa kongamano na wahudumu wa umma ili kupata maoni ya jinsi bima hiyo inaendelea kuimarisha huduma yake kwa wafanyakazi wa serikali nchini.Kwenye mkao na […]
-
LONYANGAPUO AKOSOLEWA KWA HATUA YAKE YA HIVI PUNDE KUWAAJIRI MAAFISA ZAIDI.
Hata licha ya gavana wa kaunti hii ya Pokot magharibi John Lonyangapuo kuonya dhidi ya kuingizwa kile alichotaja kuwa siasa katika shughuli ya hivi punde kuwaajiri maafisa zaidi katika serikali […]
-
WAHUDUMU WA BODA BODA WATAKIWA KUHUBIRI AMANI POKOT MAGHARIBI.
Wahudumu wa boda boda katika kaunti hii ya Pokot magharibi wametakiwa kutumia nafasi yao kuhubiri amani msimu huu wa siasa za uchaguzi mkuu wa mwezi agosti ili kuhakikisha kuwa uchaguzi […]
-
‘KENYA KWANZA ITAKABILI UTOVU WA USALAMA BONDE LA KERIO’, WASEMA VIONGOZI WA UDA.
Viongozi wanaowania nyadhifa za uongozi katika kaunti ya baringo kupitia chama cha UDA, wameelezea matumaini kwamba serikali ya kenya kwanza itashughulikia tatizo la utovu wa usalama unaochangiwa na visa vya […]
-
MWANAMME MMOJA ANASAKWA NA MAAFISA WA POLISI BAADA YA KUMWANGAMIZA MPENZIWE KWA KISU ENEO LA KAPLAI TALAU KAUNTI HII YA POKOT MAGHARIBI
Jamii moja katika kijiji cha Kaplai eneo la Talau kaunti hii ya Pokot , magharibi inalilia haki baada ya mwanao kuuliwa na mmewe.Kulingana na babake mwenda zake Oleting’iti Memoi wawili […]
-
WANIAJI WA NYADHIFA TOFAUTI WAPONGEZWA KWA KUWATEUA WAGOMBEA WENZA KIKE.
Mwakilishi wa kike katika bunge la kitaifa kaunti ya elgeiyo marakwet jane kiptoo chabaibai amepongeza hatua ya viongozi wa kiume kuwachagua wanawake kuwa wagombea wenza wao hasa wa ugavana na […]
-
MGOMBEA KITI CHA UBUNGE ENDEBES KAUNTI YA TRANSNZOIA AHAIDI KUWATAFTA WAWEKEZAJI IWAPO ATACHAGULIWA
Kiongozi na musomi kutoka eneo bunge la Endebess Kaunti ya Trans Nzoia Pius Gumo amesema yuko tayari kuwatafuta waekezaji iwapo atachaguliwa kuwa Mbunge ili kupiga jeki eneo bunge hilo ikiwemo […]
-
WASHIKADAU KUTOKA KAUNTI YA TURKANA WAAHIDI KUHAKIKISHA VISA VYA MIMBA ZA MAPEMA ZINAPUNGUA
Mimba za mapema miongoni mwa wasichana na dhulma za jinsia ni baadhi ya changamoto zinazowakumba wasichana na wanawake katika kaunti ya turkanaChangamoto ambazo zimewaathiri wengi na sera zilizopo zikionekana kuwa […]
-
LONYANGAPUO ASUTA UDA KWA MADAI YA KUENEZA PROPAGANDA KUHUSU MGOMBEA MWENZA.
Wafuasi wa chama cha KUP katika kaunti hii ya Pokot magharibi wametakiwa kutokuwa na hofu kuhusiana na hatima ya mgombea mwenza wa mgombea wa ugavana wa kaunti kupitia chama hicho […]
Top News










