Author: Charles Adika
-
GAVANA LONYANGAPUO AWAPUUZILIA MBALI WAPINZANI WAKE WA KISIASA
Gavana wa kaunti hii ya Pokot magharibi John Lonyangapuyo amepuuzilia mbali madai yanayoendelezwa na wapinzani wake wa kisiasa kuhusu utendakazi wake katika kipindi ambacho amekuwa madarakani.Gavana Lonyangapuo amesema kuwa hatojibizana […]
-
-
SHULE ZA UMMA ZAPIKU ZA BINAFSI KATIKA MTIHANI WA KCPE KAUNTI YA TRANS NZOIA
Takwimu za matokeo ya mtihani wa kitaifa wa KCPE mwaka huu zinaonyesha kuwa shule za umma zilizipiku shule za kibinafsi kinyume matokeo ya hapo awali, ambapo kati ya wanafunzi kumi […]
-
VISA VYA UHALIFU VYAPUNGUA KODICH KUFUATIA KUFUNGULIWA CHUO CHA MAFUNZO YA UDEREVA
Hatua ya kufunguliwa shule ya kutoa mafunzo ya udereva katika wadi ya Kodich kaunti hii ya Pokot magharibi imepelekea manufaa makubwa kwa vijana wengi eneo hilo.Haya ni kulingana na mwakilishi […]
-
CHUMBA CHA WAGONJWA MAHUTUTI CHAKARIBIA KUKAMILIKA KATIKA HOSPITALI YA KAPENGURIA
Waziri wa afya kaunti hii ya Pokot magharibi Christine Apakoreng amesema kuwa chumba cha kuwahudumia wagonjwa mahututi katika hospitali ya kepunguria kimekaribia kukamilika.Aidha Apakoreng amesema wahudumu wa afya ambao watakuwa […]
-
UONGOZI WA GAVANA LONYANGAPUO WAENDELEA KUSHUTUMIWA POKOT MAGHARIBI
Mwakilishi wadi maalum Elijah Kasheusheu ameendelea kukosoa uongozi wa gavana wa kaunti hii ya Pokot magharibvi John Lonyangapuo katika kipindi ambacho amekuwa madarakani.Akizungumza katika mahojiano na kituo hiki Kasheusheu amesema […]
-
-
MAANDAMANO YA WAKULIMA WA MIWA KULALAMIKIA USIMAMIZI WA KIWANDA CHA NZOIA YASITISHWA
Mbunge wa Kanduyi kaunti ya Bungoma Wafula Wamunyinyi amefanikiwa kutuliza maandamano ya wakulima wa miwa ambayo yaliratibiwa kufanyika leo kushinikiza kuondolewa madarakani mkurugenzi mkuu wa kiwanda cha miwa cha nzoia […]
-
SERIKALI YA TRANS NZOIA NZOIA YASUTWA KWA KUONGEZEKA UNYAKUZI WA ARDHI
Mwenyekiti wa mashirika yasiyo ya serikali kaunti ya Trans nzoia Kefa Were ameelezea kughadhabishwa na kuendelea kuongezeka visa vya unyakuzi wa ardhi za umma ikiwemo ya makaburi mtaani kibomet mjini […]
-
MOROTO APINGA KUFUNGWA ZAHANATI MAENEO YA MASHINANI
Mbunge wa Kapenguria kaunti hii ya Pokot magharibi Samwel Moroto amekosoa hatua ya kufungwa baadhi ya vituo vya afya kaunti hii hasa maeneo ya mashinani.Akizungumza na kituo hiki Moroto amesema […]
Top News