Author: Charles Adika
-
WASIMAMIZI WA VIJIJI BUNGOMA WATAKA KULIPWA MISHAHARA
Wito umetolewa kwa serikali kuangazia kuanza kuwalipa wasimamizi wa vijiji wanaosema kuwa wamefanya kazi ya kujitolea kwa miaka mingi.Wakiongozwa na mmoja wa wakuu wa vijiji hao Peter Marudi kutoka wadi […]
-
HUENDA MASAIBU YA WALIMU WA KNUT YAKAFIKA KIKOMO KARIBUNI.
Katibu mkuu wa chama cha walimu nchini knut tawi la kaunti ya trans nzoia George Wanjala ameelezea matumani kuwa maslahi ya walimu yatashughulikiwa hasa baada ya uhusiano bora kuanza kushuhudiwa […]
-
WAZAZI WATAKIWA KULIPA KARO YA WANAO
Baadhi ya wakuu wa shule katika kaunti hii ya pokot magharibi wametoa wito kwa wazazi kujikakamua na kulipa karo ya wanao ili kuwezesha kuendeshwa shughuli muhimu katika shule hizo licha […]
-
-
-
-
-
-
WALIMU WAONYWA DHIDI YA KUWAZUIA WANAFUNZI WALIOPACHIKWA MIMBA NA KUJIFUNGUA.
Walimu wakuu katika kaunti hii ya Pokot magharibi wameonywa dhidi ya kuwazuia kurejea shuleni wanafunzi waliopata mimba kipindi walichokuwa nyumbani kufuatia janga la corona na kisha kujifungua.Spika wa bunge la […]
Top News









