Author: Charles Adika
-
WAZAZI WAGHADHABISHWA NA KUTUMWA NYUMBANI WANAFUNZI KWA AJILI YA KARO.
Waziri wa elimu prof. George magoha ametakiwa kuingilia kati na kuwakanya wakuu wa shule dhidi ya kuwarejesha nyumbani wanafunzi kwa ajili ya karo.Baadhi ya wazazi wa kaunti hii ya Pokot […]
-
RAIS ATAKIWA KUANGAZIA SWALA LA UMILIKI WA ARDHI TRANS NZOIA.
Rais Uhuru Kenyatta ametakiwa kusuluhisha maswala ya dhuluma za kihistoria, umiliki wa ardhi na swala la maskwota katika kaunti ya Trans nzoia wakati atakapozuru kaunti hiyo katika ziara yake ya […]
-
VISA VYA KUDUMAA NA UTAPIA MLO VYAPUNGUA POKOT MAGHARIBI.
Visa vya kudumaa katika ukuaji miongoni mwa watoto katika kaunti hii ya Pokot magharibi vimepungua kutoka asilimia 45 mwaka 2014 hadi asilimia 35 kufikia mwaka 2019 kulingana na takwimu za […]
-
-
-
-
-
-
UTOVU WA USALAMA WAAATHIRI KUFUNGULIWA SHULE CHESOGON
Shughuli za masomo zinaporejelewa kote nchini kwa muhula wa kwanza, taharuki ingali imetanda katika eneo la Chesegon mpakani pa kaunti hii ya Pokot magharibi na Elgeyo Marakwet kufuatia hofu ya […]
-
HOFU YA UPUNGUFU WA CHAKULA YATANDA TRANS NZOIA.
Viongozi Kaunti ya Trans Nzoia wameelezea hofu ya kupungua kwa uzalishaji wa zao la mahindi mwaka huu kwa zaidi ya asilimia hamsini.Wakiongozwa na Naibu Gavana Kaunti ya Trans Nzoia Dkt […]
Top News








