Author: Charles Adika
-
SERIKALI YATAKIWA KUIMARISHA USALAMA ENEO LA BONDE LA KERIO
Serikali imetakiwa kuchukulia kwa uzito swala la usalama katika bonde la kerio kwani shughuli za elimu zimetatizika pakubwa kutokana na ukosefu wa usalama eneo hilo.Ni wito ambao umetolewa na wadau […]
-
-
-
-
-
BUNGE LA TRANS NZOIA LAPITISHA MAKDIRIO YA BAJETI YA 2021/2022.
Bunge la kaunti ya Trans nzoia hatimaye limepitisha makadirio ya bajeti ya kima cha shilingi bilioni 8.4 ya mwaka wa kifedha 2021/2022 na kumaliza mvutano wa kutotumia fedha hizo ambao […]
-
MSHUKIWA WA WIZI WA MIFUGO KUFIKISHWA MAHAKAMANI KAPENGURIA.
Mshukiwa mmoja wa wizi wa mifugo anatarajiwa kufikishwa leo katika mahakama ya kapenguria kaunti hii ya pokot magharibi kujibu mashitaka ya kupatikana na mifugo wanaoshukiwa kuwa wa wizi katika gari […]
-
KANU YAWAONYA WANACHAMA WAKE DHIDI YA KUSHIRIKI MCHAKATO WA KUMBANDUA SPIKA WA BUNGE LA POKOT MAGHARIBI.
Chama cha KANU kimewaonywa wabunge wa bunge la kaunti hii ya pokot magharibi wanachama wa chama hicho dhidi ya kushiriki mchakato wa kumbandua afisini spika wa bunge la kaunti hii […]
-
WALIMU CHEPTULEL WAHOFIA USALAMA WAO.
Serikali imetakiwa kuimarisha usalama eneo la Cheptulel mpakani pa kaunti hii ya Pokot magharibi na kaunti jirani ya Elgeyo marakwet iwapo inataka shughuli za masomo kuendelea eneo hilo ambako kulishuhudiwa […]
-
Top News








