Author: Charles Adika
-
-
-
-
PUKOSE ASHUTUMIWA KWA KUDHALILISHA BARAZA LA WAZEE.
Mbunge wa Endebes kaunti ya Trans nzoia Robert Pukose ametakiwa kuomba msamaha kufuatia madai ya kulidhalilisha baraza la wazee wa jamii la sabaot katika kaunti hiyo wakati wa mkutano na […]
-
WAKULIMA WATAKIWA KUTUMIA MVUA INAYOSHUHUDIWA KUPANDA MIMEA YA CHAKULA.
Wito umetolewa kwa wakulima katika kaunti hii ya pokot magharibi kutumia mvua inayoshuhudiwa maeneo mbali mbali ya kaunti hii kuendeleza kilimo cha mimea mbali mbali hasa baada ya kuathirika mahindi […]
-
SERIKALI YALAUMIWA KWA UTOVU WA USALAMA UNAOSHUHUDIWA CHESOGON.
Waziri wa usalama wa ndani ya nchi Dkt Fred Matiangi ametakiwa kuhakikisha anatekeleza ahadi aliyotoa kwa wakazi wa eneo la chesogon mpakani pa kaunti hii ya Pokot magharibi na kaunti […]
-
VIONGOZI WAKASHIFU MAUAJI YA CHESOGON.
Viongozi kaunti hii ya Pokot magharibi wameendelea kushutumu mauaji ya watu watatu wakazi wa kaunti hii ya Pokot magharibi yaliyotekelezwa na washukiwa wa uhalifu eneo la Chesogon mpakani pa kaunti […]
-
-
-
Top News







