Author: Charles Adika
-
-
SERIKALI YATAKIWA KUIWEZESHA KIFEDHA TUME YA TSC.
Serikali imetakiwa kuiwezesha kifedha tume ya huduma za walimu TSC ili kuwaajiri walimu zaidi kuendena na mpango wa kufanikisha wanafunzi wote ambao wanafanya mtihani wa KCPE kujiunga na shule za […]
-
VISA VYA WAKAZI KUUMWA NA NYOKA VYAKITHIRI LOMUT.
Wakazi wa eneo la Lomut katika kaunti hii ya Pokot magharibi wamelalamikia ongezeko la visa vya wakazi kuumwa na nyoka eneo hilo.Wakiongozwa na aliyekuwa diwani wa Lomut Musa Tekelezi wakazi […]
-
USHURU UNAOLIPWA NA WAHUDUMU WA BODA BODA POKOT MAGHARIBI KUPUNGUZWA KUANZIA SEPTEMBA MOSI.
Agizo la gavana wa kaunti hii ya pokot magharibi John Lonyangapuo kupunguzwa ushuru wanaotozwa wahudumu wa boda boda kutoka shilingi 300 hadi 200 kila mwezi litaanza kutekelezwa kuanzia tarehe moja […]
-
VIONGOZI WA DINI WATAKIWA KUSHIRIKI JUHUDI ZA KUAFIKIWA AMANI CHESOGON.
Viongozi wa dini katika kaunti hii ya Pokot magharibi wametakiwa kuchangia katika juhudi za kuleta amani eneo la Chesogon mpakani pa kaunti hii ya Pokot magharibi na kaunti jirani ya […]
-
-
-
-
-
VIJANA TRANS NZOIA WATAKA KUFANYIWA MAREKEBISHO SHERIA ZA UCHAGUZI.
Ipo haja ya wabunge kutathmini upya na kufanyia marekebisho sheria zinazo husiana na uchaguzi kufuatia tetesi zinazoibuliwa na wale wasioridhishwa na matokeo ya chaguzi hizo.Wakizungumza katika Gereza kuu la Kitale […]
Top News








