Author: Charles Adika
-
WAZAZI MAENEO YA MIPAKANI WATAKIWA KUWAPELEKA WANAO SHULENI.
Wazazi hasa maeneo ya mipakani katika kaunti hii ya Pokot magharibi wametakiwa kuhakikisha kuwa wanao wanaripoti shuleni wakati huu ambapo shule zimefunguliwa kwa muhula wa kwanza.Kulingana na mwalimu mkuu wa […]
-
UHABA WA MIUNDO MSINGI WAHUJUMU USAJILI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA.
Swala la uhaba wa miundo mbinu limejitokeza pakubwa katika shughuli ya usajili wa wanafunzi wanaojiunga na kidato cha kwanza katika baadhi ya shule za kaunti hii ya Pokot magharibi.Kulingana na […]
-
KENGEN YASHUTUMIWA KWA KUWAHANGAISHA WAKAZI TURKWEL.
Kampuni ya kuzalisha umeme ya KENGEN imeshutumiwa vikali kwa jinsi inavyoendesha shughuli zake eneo la Turkwel katika kaunti hii ya Pokot magharibi huku ikidaiwa kuwahangaisha wakazi wa eneo hilo.Wakizungumza katika […]
-
-
-
-
-
WAFANYIBIASHARA WATISHIA KUANDAMANA KUTETEA BIASHARA ZAO MAKUTANO.
Wafanyibiashara mjini Makutano katika kaunti hii ya Pokot magharibi wametishia kuandamana hadi afisi ya mkurugenzi wa elimu kaunti hii kulalamikia hatua ya uongozi wa baadhi ya shule katika kaunti hii […]
-
HATUA YA KUZUIWA NAIBU RAIS KUSAFIRI NCHINI UGANDA YAZIDI KUSHUTUMIWA.
Hisia mseto zimeendelea kuibuliwa nchini kufuatia hatua ya kuzuiwa naibu rais William Ruto kusafiri nchini uganda kwa ziara ya kibinfasi.Baadhi ya wakazi wa makutano katika kaunti hii ya Pokot magharibi […]
-
RAIS ATAKIWA KUANGAZIA UTATA WA ARDHI ATAKAPOZURU TRANS NZOIA.
Serikali imetakiwa kuangazia kikamilifu swala la wakimbizi katika kaunti ya Trans nzoia.Mbunge wa Kiminini Dkt Chris Wamalwa amesema kuwa swala la wakimbizi ni nyeti na iwapo litaangaziwa kwa wakati unaofaa […]
Top News