Author: Charles Adika
-
-
MUKENYANG ABANDULIWA KAMA SPIKA WA BUNGE LA POKOT MAGHARIBI
Spika wa bunge la kaunti ya Pokot magharibi Catherine Mukenyang hatimaye ameondolewa afisini. Hii ni baada ya idadi kubwa ya wabunge katika bunge hilo kuunga mkono hoja ya kumwondoa afisini […]
-
-
LONYANGAPUO ATAKA SEKTA YA ELIMU KUGHATULIWA KIKAMILIFU.
Gavana wa kaunti hii ya Pokot magharibi John Lonyangapuo amelalamikia pakubwa sehemu kubwa ya sekta ya elimu kusimamiwa na serikali kuu huku serikali za kaunti zikiachiwa kusimia elimu ya chekechea.Akizungumza […]
-
HATIMA YA SPIKA MUKENYANG KUBAINIKA LEO HUKU VIONGOZI WAKIENDELEA KUSHUTUMU HOJA YA KUBANDULIWA KWAKE.
Bunge la kaunti ya Pokot magharibi linapotarajiwa leo kujadili hoja ya kumbandua spika wa bunge hilo Catherine Mukenyang, baadhi ya viongozi kaunti hii wameendelea kukashifu hatua hiyo wanayodai imechochewa kisiasa.Wa […]
-
‘MKONO WA MUNGU NDIO UTAMWOKOA MUKENYANG’ ASEMA ARAULE
Itahitaji muujiza kwa spika wa bunge la kaunti hii ya Pokot magharibi Catherine Mukenyang kuokoka kutokana na hoja ya kubanduliwa afisini inayotarajiwa kujadiliwa hii leo na bunge la kaunti hii.Haya […]
-
WAFANYIKAZI TRANS NZOIA WATISHIA KUGOMA KULALAMIKIA KUCHELEWESHWA MSHAHARA.
Mwenyekiti wa muungano wa wafanyakazi wa serikali ya Kaunti ya Trans Nzoia Samuel Juma Kiboi ametoa makataa ya siku tatu kwa serikali ya Kaunti hiyo kuwalipa mishahara yao ya miezi […]
-
-
-
Top News








