Author: Charles Adika
-
-
VIONGOZI TRANS NZOIA WAONYWA DHIDI YA KUENDELEZA SIASA MAZISHINI.
Viongozi wa kisiasa katika kaunti ya Trans nzoia wametakiwa kukoma kupeleka maswala ya kisiasa katika hafla za mazishi.Ni wito wake mshirikishi wa usalama eneo la bonde la ufa George Natembeya […]
-
KUBADILISHWA ULINZI WA NAIBU RAIS KWAZIDI KUIBUA HISIA NCHINI.
Mjadala kuhusu kubadilishwa vitengo vya ulinzi wa naibu rais William Ruto umeendelea kushuhudiwa nchini wandani wa Ruto wakiendelea kukashifu hatua hiyo wanayotaja kuwa inayolenga kuhujumu utendakazi wa afisi ya naibu […]
-
CHANJO ZAIDI DHIDI YA CORONA ZATARAJIWA KAUNTI YA POKOT MAGHARIBI MWEZI HUU WA SEPTEMBA.
Kaunti ya Pokot magharibi inatarajiwa kupokea chanjo mpya dhidi ya virusi vya corona za Pfizer, moderna na Johson and Johnson kando na ile ya astrazeneca ambayo imekuwa ikitumika ili kuendeleza […]
-
POGHISIO AKASHIFU MPANGO WA KUMBADUA AFISINI SPIKA MKENYANG.
Seneta wa kaunti hii ya pokot magharibi samwel poghisio ameshutumu juhudi ambazo zinaendelezwa na wabunge wa bunge la kaunti hii ya pokot magharibi kumwondoa mamlakani spika Catherine Mukenyang.Akizungumza na kituo […]
-
-
-
-
-
Top News








