Author: Charles Adika
-
-
-
-
-
-
-
BAADHI YA VIONGOZI TRANS NZOIA WAPUUZA MIITO YA KUPATANISHWA RAIS NA NAIBU WAKE.
Hisia mseto zimeendelea kuibuka nchini kufuatia tangazo la baraza la maaskofu wa kanisa katoliki kuwa lipo tayari kuwaunganisha rais Uhuru kenyatta na naibu wake William Ruto.Wa hivi punde kuzungumzia swala […]
-
DEMOKRASIA VYAMANI YATILIWA SHAKA.
Ni hatua chache mno zimepigwa ili kuafikiwa kwa demokrasia katika vyama vya kisiasa humu nchini.Haya ni kwa mujibu wa mkurugenzi mkuu wa shirika la Haki na Amani Justice and Peace […]
-
VIONGOZI WATAKIWA KUIMARISHA MIUNDO MSINGI ALALE POKOT MAGHARIBI.
Viongozi eneo bunge la kacheliba kaunti hii ya Pokot magharibi wametakiwa kuangazia kikamilifu changamoto ambazo zinawakumba wakazi hasa katika eneo la Akoret wadi ya alale.Wakiongozwa na Emmanuel Napareng wakazi hao […]
Top News







