Author: Charles Adika
-
‘HATUNA HOFU NA USALAMA WA CHAKULA POKOT MAGHARIBI’ YASEMA NDMA.
Mamlaka ya kushughulikia majanga NDMA kuanti hii ya pokot magharibi imeendeleza vikao vya kuangazia hali ya chakula katika kaunti hii ya pokot magharibi na kubaini maeneo ambayo yatahitaji misaada kutokana […]
-
-
-
WAUZAJI POMBE HARAMU TRANS NZOIA WAONYWA.
Idara ya uisaloama kaunti ya Trans nzoia kwa ushirikiano na kamati ya kutoa leseni kwa wauzaji wa vileo wameanzisha mikakati ya kukabiliana na watu wanaoingiza pombe haramu kutoka taifa jirani […]
-
BUNGE LA TAIFA LALAUMIWA KWA ONGEZEKO LA BEI ZA MAFUTA YA PETROLI.
Baadhi ya wahudumu wa boda boda katika kaunti hii ya Pokot magharibi sasa wameelekeza ghadahabu zao kwa bunge la taifa kwa kutochukua hatua za kuhakikisha bei ya mafuta inadhibitiwa nchini […]
-
SERIKALI YA POKOT MAGHARIBI YAAHIDI KUWEKEZA KATIKA WATAALAM.
Serikali ya kaunti hii ya Pokot magharibi imetenga zaidi ya shilingi milioni 30 zitakazotumika kufadhili wakazi kutoka kaunti hii waliofuzu katika taaluma mbali mbali kuendeleza masomo katika mataifa ya nje.Haya […]
-
KITUO CHA UPASUAJI CHAZINDULIWA KAPENGURIA.
Kituo cha kufanya upasuaji wa magonjwa sugu kimezinduliwa rasmi hii leo katika hospitali ya kapenguria kaunti hii ya pokot magharibi uzinduzi ambao umeongozwa na gavana John Lonyangapuo.Lonyangapuo amesema kuwa kuzinduliwa […]
-
-
Top News









